The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Halafu majinga ya hivi ukimuuliza ina hasara gani linabaki hata hajui cha kujibu sababu babu na baba zake walisema hivyo.Hakuna mkono ambao sio sahihi, ni desturi tu.
Afrika ni Laana kubwa sana,