Katika hoja moja wapo ya kwanini kuna uhitaji wa kupata Katiba mpya, ni Uzee wake, yaani "Ni ya zamani na haikidhi matakwa yasasa ya Nchi-
Kwanini isiwe kwa Jumuya ya Madola?
Kwani kikubwa zaidi ndani ya Jumuiya hii ni kupata sauti na Ushwaishi wa "Wazungu" kwenye majukwaa ya Kimataifa- Walakin
Tunalimwa kila siku, kwenye mahakama za Kimataifa za Usuluhishi wa kibiashara-na wote hawa ni wale Wazungu walio kuwa ndani ya himaya za Jumuiya hii ya madola, mfano Australia na Canada.
Ukifuatilia kwa undani hawa wapo chini ya Himaya za Ufalme wa Uingereza, na mfalme wake ni Mkuu wa Jumuiya hii- sasa huo ushawishi na kutongezea nguvu na sauti huko tupate haki zetu sawa ni vipi?
Uwepo wetu ndani ya Jumuiya hii unatusaidia nini iwapo wanaotunyonga ni hawa hawa tunaowapa ridhaa zetu?