Huyu Mfalme Charles ana dharau sana au anamaanisha nini?

Waingereza hawajui right from left,na mnawaita intelligent ila hamna kitu.I bet they even wipe with their right hands.
Suala la right na left ni jinsi ubongo wa mtu unavyofanya kazi, sio suala la kujifunza.
 
Hivi kuna tatizo gani kutumia mkono wa kushoto au wa kulia kwenye shughuli yoyote, iwapo mikono itakuwa misafi kabla na baada ya kutumika?
 
Vipi akikutana na Biden huwa anampa salam au kitu kwa mkono huo huo au?
Ikiwa wote wanatumia na wanafahamiana sidhani kaka italeta shida.

 
Hivi kuna tatizo gani kutumia mkono wa kushoto au wa kulia kwenye shughuli yoyote, iwapo mikono itakuwa misafi kabla na baada ya kutumika?
Hakuna tatizo, sehemu nyingi za vyakula nyama choma au za supu zilizochemshwa hushikwa na mkono wa kushoto wakati wa kumkatia mteja.
 
Mfalme yupo sahihi kabisa. Kwa kawaida mtu yeyote unapotoa kitu (cheti, kikombe, ngao, nk) inatarajiwa utumie mkono wa kushoto ili ule wa kulia utumike kushikana mikono kwa wakati mmoja.

Na kama angekuw hapokei/kukabidhi kitu hapo mkono mmoja (kulia) ndiyo unahusika.

Hapo picha isituzingue, ingekuwa picha mjongeo tungeona pia Balozi Kairuki akiachia mkono mmoja wa kulia kwenda kupena mkono na Mfalme Charles.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…