Huyu Mfalme Charles ana dharau sana au anamaanisha nini?

Duuu, kumbe ndio hivi??
 
sasa kwani nani alikuambia nina mtoto?
KWahyo mama yako alivyotombw katikati ya tundu la choo akakutoa unafikiri kila mtu ni hivyo?
Jibu hoja mtoto wa kahab wewe
 
Hizi jumuiya za kikanda ndo zinazotuletea huu uzombi tunaoupitia......

jazia nyama
Katika hoja moja wapo ya kwanini kuna uhitaji wa kupata Katiba mpya, ni Uzee wake, yaani "Ni ya zamani na haikidhi matakwa yasasa ya Nchi-

Kwanini isiwe kwa Jumuya ya Madola?

Kwani kikubwa zaidi ndani ya Jumuiya hii ni kupata sauti na Ushwaishi wa "Wazungu" kwenye majukwaa ya Kimataifa- Walakin

Tunalimwa kila siku, kwenye mahakama za Kimataifa za Usuluhishi wa kibiashara-na wote hawa ni wale Wazungu walio kuwa ndani ya himaya za Jumuiya hii ya madola, mfano Australia na Canada.
Ukifuatilia kwa undani hawa wapo chini ya Himaya za Ufalme wa Uingereza, na mfalme wake ni Mkuu wa Jumuiya hii- sasa huo ushawishi na kutongezea nguvu na sauti huko tupate haki zetu sawa ni vipi?

Uwepo wetu ndani ya Jumuiya hii unatusaidia nini iwapo wanaotunyonga ni hawa hawa tunaowapa ridhaa zetu?
 
 
Mbele ya mzungu mtu mweusi ni takataka tu. Hawa wazungu hata wajifanye kuwa liberal na "woke" vipi lakini deep down wanaamini kuwa mtu mweusi ni "nyani" tu anayestahili kutupiwa maganda ya ndizi! 🚮🚮🚮
 
Mnapataga wapi Pumba hizi?. Hakuna nchi inayoizuia Tanzania tusipate katiba mpya. Ni wanasiasa wenu tu hawa wa ccm ndio wanaoizuia katiba mpya. Hakuna mtu mwingine kutoka nje anaezuia katiba mpya
 
Ndugu yangu.
Hizi jumuiya za kikanda ni kudhihirisha unyonge wetu. Yaani watutawale, watuibie kisha wanatutawala kwa namna hii ya kuundiwa jumuiya....


Umaskini wetu usitufanye kuwa wajinga kiasi cha kutoelewa haya yanayoendelea. Uingereza imejitooa EU kwa sababu wananchi walishirikishwa kikamilifu kwenye maamuzi ya kujiunga ama kujitoa jumuia za kikanda. Sisi tunaingizwa kama mizigo
 
Hawa majamaa tangu wakusanye maraisi wetu Kwenye basi kuwapeleka msibani Sina hamu nao kbsa.
Wanatuonaga sisi waAfrica Kama ndugu zao na kina tumbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…