Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Utakuwa umensaidia sana kama utampa huo ushauri wa kurudi kijiji ili ajipange upya!
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Huyo anajitahidi kukitafuta kifo kwa kasi ya SGR.
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.

Uwe unamuagizia pombe za mdindifu za kijijini kwao, hizo zitamkolea.
 
Back
Top Bottom