Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Mnalala kitanda kimoja? Mkuu fukuza huyo mtu. Mimi kuna kijana mmoja aliomba aje afikie kwangu sijui kaitwa aje kufanya interview nikamkaribisha nikaona mwezi wa 1 unakatika bila ya umeme ikapanda na units za Dawasa zikawa juu. Hana msaada afyeki nje wala kusafisha nyumba. Nikamuita siku moja nikamwambia umekuja kutafuta kazi ama kufanyakazi. Kesho naomba uondoke. Sipendi ujinga
 
Mtoa mada umenikumbusha mazungumzo fulani redioni juzi juzi. Eti jamaa anashinda ndani tu anaangalia tv. Akiulizwa ana mpango gani wa maisha anasema " kuna mchongo fulani nausikilizia"
Je ukibuma? Badala ya kutafuta plan B anaagalia tv tu.
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Mapatie kaburu mbili kesho anaaga
 
Mpaka shule zifunguliwe tutakuwa tumeona mengi sana
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza, hizo pombe zilizopo hapo ndani akizimaliza zote usinunue tena.
Atakua anakunywa siku ukiamua kumnunulia.

Pili, wewe uwe unakula mtaani ukija ni kulala tu usithubu kumpikia, mpaka atapata akili ya kuanza kujipikia.

Tatu, kesho asubuhi ukiwa unatoka muambie "Bro ukiamka naomba unisaidie kutandika kitanda"

Nne, ukiwa unapiga naye story uwe unamuuliza mara kwa mara updates za hiyo mitikasi anayofukuzia na ikiwezekana umshauri namna bora ya kufukuzia hiyo mitakasi iliyomsababisha aje mjini.
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Mimi huwa sipokei mtu mjini kwa sababu hiyo tu.Ili nimpokee basi lazima ama awe ndugu wa karibu ambaye namfahamu vizuri au kama ni mshkaji pia niwe namfahamu.Wakati nikiwa bwa mdogo sana nilijaribu kusaidia baadhi ya washakji ila wengi walikuwa na stress na mimi kwa kautokujua nikajikuta nakua sehemu ya stress zao.

All in all kama umeamua kumsaidia basi msaidie
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Si uache kuleta hiyo mipombe? umejaza mipombe mwenyewe halafu unamlalamikia kwamba analala sana,si analala amelewa sana.badala yake jaza Juice za bakressa na mboga mboga humo kwenye fridge.by the way wewe umemlostisha maana alipofika ilimwambia "feel at home bro"
 
[emoji2][emoji2]mkuu hata mi nilipata mgeni ambaye nlisomaga nae chuo nae ana pigo kama za huyo jamaa yako huyu wangu ubrazamen mwingi,ila nashukuru kasepa
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
🤣🤣🤣
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana

Au alitaka akutatue marinda kimasihara [emoji28][emoji28][emoji1544]yaani anakufata kwa kasi kiasi hicho [emoji276]
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
Kuna jamaa mmoja huyo nilimkaribisha kwangu kutoka huko Bush kwetu mpaka ilinibidi nimpangishie tu kwake,alikuwa na tabia za ajabu sijawahi kuona,kwanza janaume zima mpaka leo eti bado linavaa chupi badala ya boxer,usiku linavua nguo zote linabaki na chupi tu eti linalala hivyo hivyo linasingizia joto.nikaona isiwe tabu,nikalitafutia ghetto mahali na kitanda,saivi limeoa na akili zimekaa sawa.
 
Back
Top Bottom