Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Hizo pombe alizikuta humo ndani au kaja nazo?
Alivyokuja alikuta k vant nusu chupa akagida yote,jana nikasema ngoja nikachukue tena chupa kubwa tuje tupige na jamaa ikakata,nikaona kaenda shop kaja na double kick,leo nimemkuta yuko na chupa ya k vant anapiga taratibu tu.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukute anatabia ya kuota mademu zake
Anaanza kukushika shika unaweza tia mtu kofi usingizini akizinduka unasingizia wachawi
Yule jamaa sijui aisee
 
Au alitaka akutatue marinda kimasihara [emoji28][emoji28][emoji1544]yaani anakufata kwa kasi kiasi hicho [emoji276]
Mkuu yule jamaa ni kero aisee sijui hata akili zake zipoje ni kitambo ila nashukuru aliahidi kukaa wiki na ikawa hivyo angezidisha ningekuja kuomba ushauri humu[emoji1][emoji1]
 
Kuna jamaa mmoja huyo nilimkaribisha kwangu kutoka huko Bush kwetu mpaka ilinibidi nimpangishie tu kwake,alikuwa na tabia za ajabu sijawahi kuona,kwanza janaume zima mpaka leo eti bado linavaa chupi badala ya boxer,usiku linavua nguo zote linabaki na chupi tu eti linalala hivyo hivyo linasingizia joto.nikaona isiwe tabu,nikalitafutia ghetto mahali na kitanda,saivi limeoa na akili zimekaa sawa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwa sisi ambao hatuja zoea kulala wanaume watupu kitanda kimoja hii kitu inatuumiza Sana ukifika muda wa kulala
 
Huo ni ubaguzi kamanda
Mzee kufikua kwa mtu hatukatazi ila ukifika hata Kama umeambiwa jisikie upo nyumbani Basi ndio ulete ujinga wa nyumbani kwenu hapana. Alafu Kuna vitu vya kufanya ukiwa ugenini na Kuna vitu vya kubeba unapo enda ugenini. Lazima ubebe shuka lako, lazima ubebe taulo nk
 
Hiyo hali huwakuta vijana wengi wakimaliza chuo, huku wakisubiri kupata ajira
 
Habari
Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini,sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga,nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.
Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani,kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna.hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu.alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?
Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Jaribu kumshauri kwamba mwenendo wake sio mzuri kwa mtu mwenye lengo la kujipanga
 
Akienda Chooni Kumwaga Ndogo Hiyo Harufu.......
Timua Haraka Ama Mpeleke Mbozi Road, Hapo Dar Es Salaam
Kuna Kiwanda Cha Konyagi, Akalewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee namna nzuri ya kumsaidia mtu ni kumnunulia godoro, net na kumlipia kodi ya miezi 3 full stop, wabongo hatuna ustaarabu na kujisahau kwingi, usipokaa sawa hapo atamaliza mwaka na hana shughuli ya kufanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana lol.
 
Back
Top Bottom