Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
Pole sana Mkuu, wakati anakufuata kwenye pembe yako kitandani hakuwahi kukudindishia kweli??.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Aisee namna nzuri ya kumsaidia mtu ni kumnunulia godoro, net na kumlipia kodi ya miezi 3 full stop, wabongo hatuna ustaarabu na kujisahau kwingi, usipokaa sawa hapo atamaliza mwaka na hana shughuli ya kufanya.
Na kama una mke au watoto hapo nyumbani atawatafuna
 
Endelea kumnunulia pombe kali zaidi na bange ila usishangae siku akiwatafuna wanao na mkeo
 
Endelea kumnunulia pombe kali zaidi na bange ila usishangae siku akiwatafuna wanao na mkeo
Wanaishi wao wawili tyuuh hapo, ndo maana wanalala Pa1, hujui kubebana wee? Mtindo pendwa wa wanachuo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza, hizo pombe zilizopo hapo ndani akizimaliza zote usinunue tena.
Atakua anakunywa siku ukiamua kumnunulia.

Pili, wewe uwe unakula mtaani ukija ni kulala tu usithubu kumpikia, mpaka atapata akili ya kuanza kujipikia.

Tatu, kesho asubuhi ukiwa unatoka muambie "Bro ukiamka naomba unisaidie kutandika kitanda"

Nne, ukiwa unapiga naye story uwe unamuuliza mara kwa mara updates za hiyo mitikasi anayofukuzia na ikiwezekana umshauri namna bora ya kufukuzia hiyo mitakasi iliyomsababisha aje mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kuna jamaa yangu alikuja kukaa gheto akisubiri ajira enzi hizo mimi niko chuo( nilikuwa nakaa off-campus) ila naye alimalizia chuo kilekile, duhh! Kero mzee unatoka chuo mchana au jioni umechoka na njaa unafika gheto unakuta mlango umefungwa kaleta demu! Unavumilia ili kupisha lipite.

Taulo langu jamaa unakuta kagonga mwanamke na kujifutia[emoji2961], nikamuachia taulo jamaa wala hakuwa na tatizo wala kustuka.

Jamaa akaagiza demu wake waliemaliza naye( nikamkuta gheto kaja bila taarifa) nikajipiga "exile" Three days nalala kwa mshikaji wangu.

The third day i told the man a bitter truth that I was so annoyed with his conduct!, nikaagiza demu wangu nikampiga exile akawa anaishi kama Kaini

Kumbe alikuwa anawaambia jamaa zake gheto ni lake.

Nilichukia sana na heshima niliyokuwa nayo juu yake ilishuka kabisa. Baadae alikuja kuajiriwa ualimu nikashukuru.

Yaani unalala kwa unyenyekevu wakati upo kwako[emoji23], halafu mkulungwa anakoroma kalala chali kabisa.
 
siku akilewa chakali mpasulie yai kwa nyuma atapata akili ya kilichomleta mjini
 
Nimesoma comments zoote,

Guys thank you kwa kuniongezea siku za kuishi, aisee nimecheka sana, ooh God Watz tuna maneno sana.
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna jamaa yangu alikuja kukaa gheto akisubiri ajira enzi hizo mimi niko chuo( nilikuwa nakaa off-campus) ila naye alimalizia chuo kilekile, duhh! Kero mzee unatoka chuo mchana au jioni umechoka na njaa unafika gheto unakuta mlango umefungwa kaleta demu! Unavumilia ili kupisha lipite.

Taulo langu jamaa unakuta kagonga mwanamke na kujifutia[emoji2961], nikamuachia taulo jamaa wala hakuwa na tatizo wala kustuka.

Jamaa akaagiza demu wake waliemaliza naye( nikamkuta gheto kaja bila taarifa) nikajipiga "exile" Three days nalala kwa mshikaji wangu.

The third day i told the man a bitter truth that I was so annoyed with his conduct!, nikaagiza demu wangu nikampiga exile akawa anaishi kama Kaini

Kumbe alikuwa anawaambia jamaa zake gheto ni lake.

Nilichukia sana na heshima niliyokuwa nayo juu yake ilishuka kabisa. Baadae alikuja kuajiriwa ualimu nikashukuru.

Yaani unalala kwa unyenyekevu wakati upo kwako[emoji23], halafu mkulungwa anakoroma kalala chali kabisa.
Hivi we ni mtu au malaika? Huu ni uvumilivu ambao siwezi kuwa nao hadi mwisho wa dahari.
 
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Mnunulia supu ya mawe ile OG ndio ataipenda
 
Back
Top Bottom