Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Mtu akikaa kwako sio awe mtumwa,tena ni mtu mzima huyo,ni shida tu ndo zimemfanya afikie kwako ,naamin akifanikiwa atakupisha,sasa sio ndo uanze kumpangia had vitu vya kunywa kisa Yuko kwako,suala la usafi na mpangilio wa nyumba yako ilo unaweza kumuweka sawa ,lakin sio personal life yake ,hell no,hiyo naikataa kabisa,huyo mtu atakua ana mambo meng kichwan yanamnyima raha hivyo pombe ndo tulizo lake apate usingiz,uende ukija huwa unamuangalia jicho baya ivyo anajidunga mi kvant ukija ukute kalala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo ni wewe ndugu yangu.

Badala ya kuja kulia lia mtandaoni ungempa msimamo kwanza kisha utuambie hapa umempandisha basi la saa ngapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni bora niishi peke yangu nilishakubali kubeba lawama.

Umewahi kuishi na jamaa ambaye suala la usafi yeye halimhusu!? Kuanzia yeye mwenyewe anapolala, kuoga, kupiga mswaki, kufua, vyombo vinavyotumika hata ndani kwa ujumla! Hii ni zaidi ya adhabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wa dar bwana, nyie mkija mikoani mnatuletea mikate miwili au mikono mitupu, si tunawapokea kwa bashasha, migimbi, ng'uruka, tunawafungashia na n.k, nyie kidogo nyuz kibao jf, mkija kuripoti kazi tunawapokea fresh tu, Ila nyie kulalama hamjambo.
 
Mnalala kitanda kimoja? Mkuu fukuza huyo mtu. Mimi kuna kijana mmoja aliomba aje afikie kwangu sijui kaitwa aje kufanya interview nikamkaribisha nikaona mwezi wa 1 unakatika bila ya umeme ikapanda na units za Dawasa zikawa juu. Hana msaada afyeki nje wala kusafisha nyumba. Nikamuita siku moja nikamwambia umekuja kutafuta kazi ama kufanyakazi. Kesho naomba uondoke. Sipendi ujinga
Una roho mbaya sana mwana duh[emoji23]
 
Kuna mshkaji wangu mmoja tulikua tunaishi majiran tumekuwa wote na tumesoma wote, sasa pale kwao kulikua kuna wana wamepanga chumba wanakaa watatu wanafanya biashara za kuchoma sambusa wanazipeleka Town.

Sasa wale washkaji walikua ni ndugu walikutana na jamaa mmoja kabila lao wakamsaidia wakampa mchongo wao wakawa wanaish kama ndugu japo yule mkubwa wao alikua na mke kapanga sehem nyngine... alikua tu anakuja kutengeneza mazaga wanapeleka Town.

tulikua tumewazoea sana kama mabrother kuna kipind walikua wanaondoka wanaacha kile chumba tunalala sisi kama kuwalindia tu.. sasa yule msela waliomsaidiaga alikua na tabia fulan za kipimbi , yule pimbi muda wa kulala ana lala uchi anavua kila kitu mpka boxer alafu anajifunika shuka huwezi jua kama yupo uchi!! sijui boxer alikua anavua muda gn? kuna siku tulilalaga watatu na huyo fala, jamaa yangu alilala katikati sasa ile usku anajinyoosha bahati mbaya akamshika tako yule pimbi, .msela wangu akaniamsha oya huyu fala kalala uchi.. tukamuasha oya mbona unalala uchi et mimi ndo nalalaga hivi kuanzia siku hiyo sikulalaga mule tena
 
Kuna mshkaji wangu mmoja tulikua tunaishi majiran tumekuwa wote na tumesoma wote, sasa pale kwao kulikua kuna wana wamepanga chumba wanakaa watatu wanafanya biashara za kuchoma sambusa wanazipeleka Town.

Sasa wale washkaji walikua ni ndugu walikutana na jamaa mmoja kabila lao wakamsaidia wakampa mchongo wao wakawa wanaish kama ndugu japo yule mkubwa wao alikua na mke kapanga sehem nyngine... alikua tu anakuja kutengeneza mazaga wanapeleka Town.

tulikua tumewazoea sana kama mabrother kuna kipind walikua wanaondoka wanaacha kile chumba tunalala sisi kama kuwalindia tu.. sasa yule msela waliomsaidiaga alikua na tabia fulan za kipimbi , yule pimbi muda wa kulala ana lala uchi anavua kila kitu mpka boxer alafu anajifunika shuka huwezi jua kama yupo uchi!! sijui boxer alikua anavua muda gn? kuna siku tulilalaga watatu na huyo fala, jamaa yangu alilala katikati sasa ile usku anajinyoosha bahati mbaya akamshika tako yule pimbi, .msela wangu akaniamsha oya huyu fala kalala uchi.. tukamuasha oya mbona unalala uchi et mimi ndo nalalaga hivi kuanzia siku hiyo sikulalaga mule tena
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mleta mada ili kumuokoa huyo jamaa mwaga pombe zote,atakunywa maji akome Ukimsemesha ataona unamnyanyasa
 
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Mkuu isijekuwa ni lile li toto la dadangu nililolimwaga huku kwangu? Nasikia limekimbilia Dar eti kwenda kutafuta maisha lakini lilevi kupindukia! Kwani lenyewe lina ujuzi gani wa kuleta mjini?
 
Watu wa dar bwana, nyie mkija mikoani mnatuletea mikate miwili au mikono mitupu, si tunawapokea kwa bashasha, migimbi, ng'uruka, tunawafungashia na n.k, nyie kidogo nyuz kibao jf, mkija kuripoti kazi tunawapokea fresh tu, Ila nyie kulalama hamjambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mshkaji wangu mmoja tulikua tunaishi majiran tumekuwa wote na tumesoma wote, sasa pale kwao kulikua kuna wana wamepanga chumba wanakaa watatu wanafanya biashara za kuchoma sambusa wanazipeleka Town.

Sasa wale washkaji walikua ni ndugu walikutana na jamaa mmoja kabila lao wakamsaidia wakampa mchongo wao wakawa wanaish kama ndugu japo yule mkubwa wao alikua na mke kapanga sehem nyngine... alikua tu anakuja kutengeneza mazaga wanapeleka Town.

tulikua tumewazoea sana kama mabrother kuna kipind walikua wanaondoka wanaacha kile chumba tunalala sisi kama kuwalindia tu.. sasa yule msela waliomsaidiaga alikua na tabia fulan za kipimbi , yule pimbi muda wa kulala ana lala uchi anavua kila kitu mpka boxer alafu anajifunika shuka huwezi jua kama yupo uchi!! sijui boxer alikua anavua muda gn? kuna siku tulilalaga watatu na huyo fala, jamaa yangu alilala katikati sasa ile usku anajinyoosha bahati mbaya akamshika tako yule pimbi, .msela wangu akaniamsha oya huyu fala kalala uchi.. tukamuasha oya mbona unalala uchi et mimi ndo nalalaga hivi kuanzia siku hiyo sikulalaga mule tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machozi lol.
 
Una roho mbaya sana mwana duh[emoji23]
Bora aisee kuliko kukaa na mtu hana msaada kuna siku alinikera sana nimekaa zangu naangalia BBC habari akaja akabadilisha channel bila kuuliza naangalia nini.
 
Back
Top Bottom