Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Huyu mgeni ana siku mbili tu hapa kwangu lakini nimemchoka

Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
🤣mkuu ,alikua "anakufataje"
mimi kuna lijamaa lilikuja limelewa tukalala nalo basi linakoroma na kujamba sana
 
Uvumilivu tu ndo hitaji
FB_IMG_1639383342169.jpg
 
Ila Kuna washikaji hawaja wahi kuwa na akili Kuna huyo mmoja alikua mchafu hatari alikua akivua viatu utafurahia hiyo harufu, jamaa amekuja Hana hata taulo eti anataka tushee taulo hapo ndio nilimchoka kwa Kasi ya 6g.... Na siku alio nimaliza kabisa Kuna viatu ni vya mtoko niliganyagia kwa sabubu marapa ya kushindia palee nyumbani alikua kayavaa yeye....Basi jamaa akaona Basi siku narudi kutoka job namkuta mwana katoka kuzurula kavikanyagia vile vile [emoji33][emoji33] Kama umewahi sikia zile hasira za kuvimba shingo ndio zilinipata aisee....yule jamaa alikaa wiki ila niliona mwaka ...kifupi tangia utotoni sijawahi Shea kitanda na mwanaume mwenzangu Hadi ukubwani lkn mwana ndio alikua wa kwanza kulala nae maishani mwangu alafu utakuta mtu umejitenga kwenye ncha ya kitanda 5*6 yaani umemuachia yeye lkn anakufata Hadi ulipo lala wewe[emoji38][emoji38][emoji38] ile wiki nikiteseka Sana
[emoji23][emoji23]
 
Alivyokuja alikuta k vant nusu chupa akagida yote,jana nikasema ngoja nikachukue tena chupa kubwa tuje tupige na jamaa ikakata,nikaona kaenda shop kaja na double kick,leo nimemkuta yuko na chupa ya k vant anapiga taratibu tu.
Mtu akikaa kwako sio awe mtumwa,tena ni mtu mzima huyo,ni shida tu ndo zimemfanya afikie kwako ,naamin akifanikiwa atakupisha,sasa sio ndo uanze kumpangia had vitu vya kunywa kisa Yuko kwako,suala la usafi na mpangilio wa nyumba yako ilo unaweza kumuweka sawa ,lakin sio personal life yake ,hell no,hiyo naikataa kabisa,huyo mtu atakua ana mambo meng kichwan yanamnyima raha hivyo pombe ndo tulizo lake apate usingiz,uende ukija huwa unamuangalia jicho baya ivyo anajidunga mi kvant ukija ukute kalala
 
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Tafuta demu kama hujaoa weka ndani ataondoka mwenyewe.
 
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Tatizo ni wewe ndugu yangu.

Badala ya kuja kulia lia mtandaoni ungempa msimamo kwanza kisha utuambie hapa umempandisha basi la saa ngapi
 
Habari,

Kuna jamaa yangu kaja kutafuta maisha hapa mjini, sasa aliniomba afikie kwangu kwa muda anajipanga, nami nikaona sio mbaya sababu maisha ya town ni kubebana tu hata mimi nilivyoingia mjini nilibebwa na jamaa yangu mwingine.

Kero ya huyu jamaa yangu sio mstaarabu yani, kwanza analala mpaka saa 4 na akiamka hata kutandika kitanda hakuna. Hapiki mchana na vitu viko kwenye fridge, anashinda anakunywa k vant tu. Alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.

Nimemtafakari huyu mtu nikajisemea huyu kaja mjini kutafuta maisha au kulewa?

Nafikiria kumuambia arudi kwanza mkoani akajipange upya.
Vizur zaidi ungekaa nae ukamshauri kuliko kuja kumwanika hapa jf, kila mtu ana mapungufu hata wew pia una yako japo huzidiana, ni bora zaidi kustiriana kwa mapungufu, leo umeleta la jamaako kesho utaleta ya mkeo
 
Mimi College mate wangu alipata kazi Akatoka huko mikoani na Kuja Mjini, Nawajua waswahili walivo Nikamuweka Guest siku tatu huku nikimpa kazi ya kutafuta Chumba alitafuta akapata nika Clear Kodi ya Miezi mitatu, Nilikuwa na mtungi mdogo wa Gesi ambao siutumii vyombo kadhaa nkamchukulia na kagodoro kama ka shule sikuwa kulala nae yule jamaa hata siku
Mkuu we una moyo sana
 
Ni bora niishi peke yangu nilishakubali kubeba lawama.

Umewahi kuishi na jamaa ambaye suala la usafi yeye halimhusu!? Kuanzia yeye mwenyewe anapolala, kuoga, kupiga mswaki, kufua, vyombo vinavyotumika hata ndani kwa ujumla! Hii ni zaidi ya adhabu.
 
Tafuta mke, atakutandikia kitanda. Atakupikia vizuri.
Hutapata wageni wa aina hiyo kabisa.
 
Watu hao ni kujaza choo tu, kuwa mkali, kama ni siku mbili anakaa, akupishe na ratiba yako. Sisi waafrika hatuulizi mgeni anakaa siku ngapi ! Basi atakaa mda apendao! Mimi siangalii makunyanzi! Siku sikiisha nachukuwa chumba
 
Ipo siku ataleta demu Geto alafu akwambie wewe ndo ukatafute pakulala
 
Nimesoma comments zoote,

Guys thank you kwa kuniongezea siku za kuishi, aisee nimecheka sana, ooh God Watz tuna maneno sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom