Huyu mgeni tangu aje toka mkoani anaiponda Dar Es Salaam. Jana nimemtelekeza mtaa wa Congo mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani

Kama kweli utakuwa muhuni fulani hivi.
 
Unapoteaje mchana, tena sehemu ambayo watu wote wanaongea lugha yako?
Ni ushamba kuhisi kila mtu mwizi nikijieleza kwake............nina Bro mmoja mtoto wa mama mkubwa ni mwalimu Sumbawanga huko, Elimu na kila mpaka chuo kasoma hukohuko Mbeya,sasa akaja DSM kwaajili ya kusoma Masters Duce,daah ndiyo mara ya kwanza kufika DSM ila anajifanya mjuaji eti pale napajua nilipaona kwenye TV πŸ˜‚πŸ˜‚,nilimpeleka Duce nikamtelwkeza huko,kurudi nyumbani sasa ikawa mtihani kwake haelewi aelekee wapi,alilala kwenye vibweta pale Duce na walinzi.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii sio poa kabisa.
 
Kwamba alipaona kwenye TVπŸ˜„
 
Hahaha eti kwenye TV.
 
Tena Kinshasa ni nzuri kuliko Dsm
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Ukiwa mgeni sehemu kupotea ni kitu cha kawaida hata kama umetoka kwenye jiji kubwa unaweza potea kwenyemji mdogo tu ndo maana wazungu wanatoka New York jiji kubwa kabisa duniani au Beijing wanakuja kupotea dar so ugenini kupotea ni kawaida ndo maana mm huwa nauliza sana nikiwa ugenini!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…