Huyu mgeni tangu aje toka mkoani anaiponda Dar Es Salaam. Jana nimemtelekeza mtaa wa Congo mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani

Huyu mgeni tangu aje toka mkoani anaiponda Dar Es Salaam. Jana nimemtelekeza mtaa wa Congo mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia Mbezi stendi ya Magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home Kinyerezi kupitia Malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani Mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu, jana nikamwambia twende tukatembee, nikamwambia aache na simu nyumbani, nilimzungusha kuanzia Mlimani city, Mbezi, Posta saa tisa tulikuwa Kariakoo, nikamchenga nikarudi nyumbani. Mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao, lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara tatu au mara nne, in terms of population and size.

Niliwahi kupotea Kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ya Dar.
 
Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia mbezi stendi ya magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home kinyerezi kupitia malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu,jana nikamwambia twende tukatembee ,nikamwambia aache na simu nyumbani,nilimzungusha kuanzia mlimani city,mbezi,posta .saa tisa tulikuwa kariakoo,nikamchenga nikarudi nyumbani.mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado.najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao,lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara mbili au tatu,in terms of population and size,
Niliwahi kupotea kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ta Dar.
Haaahaa 😂 😅
 
Back
Top Bottom