Huyu mgeni tangu aje toka mkoani anaiponda Dar Es Salaam. Jana nimemtelekeza mtaa wa Congo mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani

Huyu mgeni tangu aje toka mkoani anaiponda Dar Es Salaam. Jana nimemtelekeza mtaa wa Congo mpaka sasa hivi hajarudi nyumbani

Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia Mbezi stendi ya Magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home Kinyerezi kupitia Malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani Mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu, jana nikamwambia twende tukatembee, nikamwambia aache na simu nyumbani, nilimzungusha kuanzia Mlimani city, Mbezi, Posta saa tisa tulikuwa Kariakoo, nikamchenga nikarudi nyumbani. Mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao, lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara tatu au mara nne, in terms of population and size.

Niliwahi kupotea Kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ya Dar.

Amepotea yes. Hasara ya nani?
 
Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia Mbezi stendi ya Magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home Kinyerezi kupitia Malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani Mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu, jana nikamwambia twende tukatembee, nikamwambia aache na simu nyumbani, nilimzungusha kuanzia Mlimani city, Mbezi, Posta saa tisa tulikuwa Kariakoo, nikamchenga nikarudi nyumbani. Mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao, lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara tatu au mara nne, in terms of population and size.

Niliwahi kupotea Kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ya Dar.
Watu wa Dar hamkawii. Usijekuwa umemtoa kafara. Akiokotwa ufukweni mwa bahari kwenye mfuko wa rambo ndo utajua hujui...
 
Watu wa Dar hamkawii. Usijekuwa umemtoa kafara. Akiokotwa ufukweni mwa bahari kwenye mfuko wa rambo ndo utajua hujui...
Dah umenitisha ujue,mpaka sasa hajafika
 
Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia Mbezi stendi ya Magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home Kinyerezi kupitia Malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani Mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu, jana nikamwambia twende tukatembee, nikamwambia aache na simu nyumbani, nilimzungusha kuanzia Mlimani city, Mbezi, Posta saa tisa tulikuwa Kariakoo, nikamchenga nikarudi nyumbani. Mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao, lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara tatu au mara nne, in terms of population and size.

Niliwahi kupotea Kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ya Dar.
Huyo jamaa yako ni MSHAMBA kweri kweri!
 
Alitoka mkoani moja kwa moja akashukia Mbezi stendi ya Magufuli.
Toka stendi akopokelewa na dogo akaletwa home Kinyerezi kupitia Malamba mawili.

Kwa akili yake akidhani Mbezi ndio city center kama ilivyo Buzuruga au Nata.

Tangu aje ni kuponda tu, jana nikamwambia twende tukatembee, nikamwambia aache na simu nyumbani, nilimzungusha kuanzia Mlimani city, Mbezi, Posta saa tisa tulikuwa Kariakoo, nikamchenga nikarudi nyumbani. Mpaka muda huu hajarudi nyumbani bado najua amepotea.

Mnavyosikia kuna vita kule Congo DRC msije mkaidharau miji yao, lile jiji la Kinshansa ni kama hii Dar es Salaam yetu mara tatu au mara nne, in terms of population and size.

Niliwahi kupotea Kinshasa mara nyingi tu sasa nimelipiza kwa Congo ya Dar.
Kwa hiyo kupotea mji ndo ishara ya ukubwa wa mji ?
 
Mzaha mzaha tu na utani ghafla unapokea mwili wake kwenye kiroba au kachomwa moto kwa kuhisiwa kibaka
 
Sijawai kupazoea kariakoo hata siku 1. Nikiwa na mishe huko. Hua nosolve ujinga wangu na wauza machungwa tu.

Yaani nanunua chungwa la 200, huku naendelea kula huku naulizia lamani, mpaka naodoka hapo nishanunua machungwa sio chini ya 5
 
Sijawai kupazoea kariakoo hata siku 1. Nikiwa na mishe huko. Hua nosolve ujinga wangu na wauza machungwa tu.

Yaani nanunua chungwa la 200, huku naendelea kula huku naulizia lamani, mpaka naodoka hapo nishanunua machungwa sio chini ya 5
Hapazoeleki kirahisi hata jwa waliozaliwa Dar wengine panawachenga
 
Back
Top Bottom