Huyu mke mbona anaipenda sana kauli, 'mwanamke ni kiumbe dhaifu'?!!!

Huyu mke mbona anaipenda sana kauli, 'mwanamke ni kiumbe dhaifu'?!!!

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Kila tukijadili mambo ya maadili, hususani kukua kwa ufuska kwa vijana wetu wa kike au labda taarifa fulani inayohusu visa vya mapenzi tunavyovisikia kwenye TV au mtaani hapa, basi kauli hii humtoka bila kukawia. Yaani mijadala mitano tuliyoifanya hivi karibuni, ameitoa hiyo kauli Mara nne!!

Kwanini anaiwahi hii kauli?!!!! Au tayari ameshachepuka nini na hapa ni jitihada za kuniandaa kisaikolojia?!!!! Maoni yenu wadau!
 
Usitake kujua kama kachepuka au laah!!

Ila hapo anakuandaa ujue ahata ukimkuta amefanya tukio umuelewe sababu wanawake ni viumbe dhaifu!
 
Yupo sahihi , hata asingekuwa anakwambia , ndo ukweli mwanamke one to one reasoning hamna kitu ...!! Vinginevyo utamlaumu bure to
 
Kila tukijadili mambo ya maadili, hususani kukua kwa ufuska kwa vijana wetu wa kike au labda taarifa fulani inayohusu visa vya mapenzi tunavyovisikia kwenye TV au mtaani hapa, basi kauli hii humtoka bila kukawia.
Yaani mijadala mitano tuliyoifanya hivi karibuni, ameitoa hiyo kauli Mara nne!!

Kwanini anaiwahi hii kauli?!!!! Au tayari ameshachepuka nini na hapa ni jitihada za kuniandaa kisaikolojia?!!!! Maoni yenu wadau!
Huo Ni mwamvuli wa kujifichia kwa wanawake wengi
 
Ujidhaifishaji katika ubora wake...
"kill her, don't let her go"......
 
Kwa Sasa usihangaike kujua kama amechepuka au lah.

Wee naye uwe unachomekea 'Yaan Mimi Toka zamani niliapa kabisa ,mwanamke nitakayeoa, siku nikithinibitisha ananisaliti au watu wakanipenyezeaa, nikachuza mwenyewe taratibuuuu nikajua ukweli, nitakachomfanya itakua ni habari Dunia nzima na majonzi kwao"!!

Wewe uwe unamtaniaaa hiyo , Hawa Wanawake ni waoga , unajua waoga??? Ni waoga sanaaaa?...ukimkazia kidogoo ,utasikia, Nisamehee Mume wangu

Nitawapa Stori ya Jamaa yangu majunzi hapa ,mcheke🤣🤣🤣
 
Kwa Sasa usihangaike kujua kama amechepuka au lah.

Wee naye uwe unachomekea 'Yaan Mimi Toka zamani niliapa kabisa ,mwanamke nitakayeoa, siku nikithinibitisha ananisaliti au watu wakanipenyezeaa, nikachuza mwenyewe taratibuuuu nikajua ukweli, nitakachomfanya itakua ni habari Dunia nzima na majonzi kwao"!!

Wewe uwe unamtaniaaa hiyo , Hawa Wanawake ni waoga , unajua waoga??? Ni waoga sanaaaa?...ukimkazia kidogoo ,utasikia, Nisamehee Mume wangu

Nitawapa Stori ya Jamaa yangu majunzi hapa ,mcheke🤣🤣🤣
Hii mbinu acha niiweke kwenye notebook😂😂 labda itanifaa siku ya mahitaji
 
Ili akianguka usione tabu kumuinua maana yeye ni dhaifu
 
Mwambie wewe hujaoa mwanamke dhaifu. Na unaamini ilo. Ila pia una roho ngumu kwa mwanamke dhaifu anayefanya mambo yenye kutia aibu
 
Back
Top Bottom