Huyu mke nafaa kuoa kweli?

EEH MUNGU BABA NIEPUSHE NA WANAUME WASIOJITAMBUA NA HAWANA AKILI.
Wanawake watakaolewa ni wachache sana, ila watakaobeba msalaba wa majukumu ya kulea family ni wengi sana. Kama mwanamke anaingia ktk ndoa kwa kutaka kushindana atapata tabu sana, maana ukimkimbia anabaki na family na majukumu lukuki lazima anyoooke

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mueleweni mleta mada, amesema mwanamke amechepuka within time frame ya 10 years waliokuwa kwenye mahusiano na sio kabla hawajawa kwa mahusiano.
 
Shida uvulana unakusumbua..kwanza umeshatembea na rafiki yake kuonesha ulivyomshenzi lakini hutoi boriti jichoni mwako Ila unatoa kwa mkeo..

NB:Siku ukiacha uvulana na kua Mwanaume utajilaumu Sana kwa upuuzi uliofanya.
 
Msamehe ila tatizo ni kwamba kati ya hao wote kuna mmoja alishampandisha mpaka kileleni Kilimanjaro. Kuna siku atamuomba ampandishe tena kileleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww akil zako zikaombewe..... Umemzalisha watoto watatu, umemchujisha, umetembea na rfk ake na bado utaendelea tu kutembea nae, mmepita milima na mabonde kote huko ujawa kutushirikisha..... Leo hii usimuoe kisa katembea sijui na nani... kumbe hua inawauma ehh..... em kamwambie kua ulilala na rfk ake na wengine wengi alfu jibu atalokupa lilete huku
 
Kumbuka ndani ya Miaka Hyo ya kukaa pamoja Bado ametembea na watu wengine...
 
Kumbuka ndani ya Miaka Hyo ya kukaa pamoja Bado ametembea na watu wengine...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…