Huyu mke nafaa kuoa kweli?

Huyu mke nafaa kuoa kweli?

Kichwa cha habari kimenichanganya..ila kuwa na wanaume 9 ndani ya ndoa sijui ndo long term relationship napo kipengele.

Kila mtu ashinde mechi zake
😀 😀 😀 😀 😀huyo mwanamke nae falaaa.. huwezi nitajia wanaume 9 kizembee tuuu
 
Kupigiwa mke hyo ni pie , kama unataka wa kwako kamuumbe mwenyewe , Yani mke kuliwa nje hyo ni lazima labda awe shapeless ,Ila hata yeye wahuni wanakula tuuu
 
Yaani moyo unauma usingizi hauji basi balaa..alafu siku inayofuata nilikuwa na safari basi ndio kabisaaa...mpaka wale nilikuwa nasafiri nao wananiuliza leo mzabzab haupo sawa mie nazuga tuu naumwa 🤣🤣🤣🤣 kumbe mbususu inanisumbua kichwa
Alikuweza😂
 
..nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndoa tu...
Mimi ushauri wangu utajikita kwenye hii sentensi moja tuu..

HAKUNA MWANAMKE ATAEPENDA WATOTO WAKO ZAIDI YA MAMA YAO!

Kama unataka watoto wako wateseke mpaka ushangae, waletee mama mwingine.

Ni hayo tu.
 
Ingekuwa ni mimi hata simuachi hata kidogo na mchukulia simple na maisha yanaenda.
 
Yani mke wako unaazaje kumuuliza mambo ya kuwa nani alimkula kabla hujamuoa??? una matatizo ya akili wewe alafu ikusaidie nini??? kwani wewe umekula wangapi kabla yake na ubaya umemla rafiki yake wakati mshafunga na ndoa tayari acha UJINGA.. wanawake sio malaika nao ni watu
Elewa maada mezani.
Hao wanaume ametembea nao akiwa tayari anaishi na mshikaji.

Na sio kabla.

Yani tuseme wewe uishi na mkeo miaka 10, halafu uje ugundue ndani ya hiyo miaka mmeishi wote, ameshagongwa na wanaume si chini ya sita.
 
Elewa maada mezani.
Hao wanaume ametembea nao akiwa tayari anaishi na mshikaji.

Na sio kabla.

Yani tuseme wewe uishi na mkeo miaka 10, halafu uje ugundue ndani ya hiyo miaka mmeishi wote, ameshagongwa na wanaume si chini ya sita.
wameishi miaka 9 ila miaka mi3 nyuma mwanamke kaliwaaa... story alipewa mwaka juzi jamaa analeta mashta leo hapo ashamzalisha watoto watatu. bado haina maana kuleta mashtaka leo
 
Wewe ulimwambia uliyowahi tembea nao kipindi mnaishi pamoja?
 
Nina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini,kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi.tuna watoto watatu..Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi,kama zali tu.tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale..mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka..akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nae..me nikafanya kama simind hivi,ili aendelee kushusha maelezo..nikamezea..nikakatisha story.tukaendelea na story zingine..hapo hapo nikachomekea na mm nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii.kula tunda kimasihara)nilivyorudi home nikamkalisha wife chini,nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali..nakamwambia kama unataka nikusamehe,niambie watu wote ambao umeshatembea nao..duuu..alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu,wengine wanaishi mtaani kabisa..ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma..haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyo pita lakini..na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini..nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume,namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao..na ukimwona nikapole kweli..kabila ni machame..Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae nakurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini...kwamm nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kila mtu aendelee na hamsini zake..nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu...nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka..watu wote hao sikujuaga hata mmoja?? naombeni ushauri wakuu.
Achana nae,maana unaaibika mbele za watu mtaani na wanakuona wewe siyo Mwanaume ila ni mtoto wa kiume
 
Nina mke wangu tunaishi wote mwaka wa kumi na moja Sasa (hatujafunga ndoa lakini,kwasababu zangu maalumu)huyu binti nilifahamiana nae akiwa chuo cha ushirika Moshi.tuna watoto watatu..Sasa mwaka juzi kuna rafiki yake nlikutana nae nje ya mkoa tunaoishi,kama zali tu.tukapiga story mbili tatu vinywaji vya hapa na pale..mara nikaanza kumdadisi kuhusu rafiki yake.(ambae ni mke wangu)Shemu akafunguka..akanitajia wanaume ambao mke wangu alishatembea nae..me nikafanya kama simind hivi,ili aendelee kushusha maelezo..nikamezea..nikakatisha story.tukaendelea na story zingine..hapo hapo nikachomekea na mm nikaenda kumpiga shooo..(ila siyo dhumuni la mada hii.kula tunda kimasihara)nilivyorudi home nikamkalisha wife chini,nikamuuliza kumbe ulishatembea na flani na flani?akakata kaata lakini mwisho wa siku akakubali..nakamwambia kama unataka nikusamehe,niambie watu wote ambao umeshatembea nao..duuu..alinitajia zaidi ya wanaume tisa hivi. Mpaka wengine ni Rafiki zangu,wengine wanaishi mtaani kabisa..ila anasema ni miaka miwili mitatu nyuma..haya mazungumzo ni miaka mitatu iliyo pita lakini..na hicho ndicho kinanifanya nishindwe kurudi nae kundini..nikifikiria ndani ya miaka sita saba mwanaume najidai kidume,namwamini mke wangu kumbe keshatembea na watu wote hao..na ukimwona nikapole kweli..kabila ni machame..Sasa naombeni ushauri huyu mwanamke mzazi mwenzangu anafaa kuendelea kuishi nae nakurudi nae kundini ili tukae vizuri kwenye dini...kwamm nafikiri nisubiri watoto wakue(wako primary wote)then Kila mtu aendelee na hamsini zake..nitafute hata mgumba ataependa watoto wangu nifunge nae ndo tu...nikifikiria huyu mwanamke ni nyoka..watu wote hao sikujuaga hata mmoja?? naombeni ushauri wakuu.
We jamaa, hamna mtu apo karibu akupige kibao ntakuja kumlipa!
 
Kweli mzeya ni ubinafsi na mie ndio nilikuwa mstari wa mbele oh am not a one woman man so wee tugegedane na wee upo free kugegedwa na wanaume wengine.

Bwana bwana siku ya siku tunapiga stoey ananielezea jinsi alivyogegedana na jamaa....aise usiku sikulala yaani huyu mdigo wangu anaenda kutoa uno lile kwa mwanaume mwengine. Aisee hii kitu acha tuu.
Vipi bado uko nae mdigo wako??? 😂😂😂 Au ndio bwana alitoa na bwana ametwaa?
 
Nimecheka kama kichaa

Alikuwepo jamaa alikuwa akichepuka anarekodi kwa siri anamletea demu wake
Bwana siku moja yule demu akaenda kuchakatwa na yeye akarekodi kumlingishia bwanaake

Kilichotokea tuu mimi mpaka leo ni msimamizi wa mirathi aseee
Huu mchezo hauhitaji hasira. Mwanaume kugongewa ni zaidi ya death sentence
 
Vipi bado uko nae mdigo wako??? 😂😂😂 Au ndio bwana alitoa na bwana ametwaa?
Ah aliolewa bwana...maana aliona huyu mzabzab mwenyewe haeleweki.
Ila dah she knows how to satisfy a man acha kabisa.
 
Ah aliolewa bwana...maana aliona huyu mzabzab mwenyewe haeleweki.
Ila dah she knows how to satisfy a man acha kabisa.
Hahahah kwahio kale kazoezi ka kuwasha microwave kanaendelea vyema bila shaka.😀😀😀
 
Kwahiyo nawe ni mume wa mtu!! Hebu usituchoshe.
 
Sasa unataka ushauri gani?

Umekaa na mtu miaka 11, ushamchakaza vya kila namna alafu umuache unamuachia nani??

Kaa na mkeo aisee,, samehe na mkanye.. malizieni uzee wenu eboo
Naongezea, eboooo!
 
Jamaa ana makosa. Huyo mwanamke hana makosa kwasababu
Kabla ya kuingia kwenye ndoa unajikuta umetembea na watu bila wewe kufahamu kwasababu ya kumpata mtu sahihi.
Iko hivi hata sisi kwa wanaume, umpenda Anna. Umemtongoza amekuba ila unakuja kugundua ana tabia mbaya, unampiga chini unatafuta mwingine kwahiyo mpk kumpata mtu sahihi unajikuta ushatembea na wanawake 4.
Huyu nilinaye hapo nyuma nishatembea na wanawake 5 huyu wa 6 ndiyo nimempata.
Huyu mtoa uzi alichokosea ni kufukua makaburi.
Mwanamke angetembea na hao wanaume kipindi yupo na jamaa ingekuwa sahihi. Mm ndiyo maana huwa siulizi kuhusu maisha yake ya nyuma ya mahusiano.
Kuwa mke ni heshima hatujui tu
Maanayake mtu kaweka rehani maishayake mwanamke akiwa mbaya anaweza kukuharibia kilakitu akikuroga haukwepi akiamua akuue ni dakika sabbu upo nae ndani Akiamua uwe mwanaume wa ovyo ni dakika tu maisha yanakubadilikia hivo kuwa na wasiwas juu ya maishayake sidhani km ni tatizo
Japo Sina Cha kumshauri wenye ndoa zao waje wazungumze
 
Back
Top Bottom