usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Poa shemPoa shem,habari ya wewe
Mkuu ulijificha wapi aisee!?Mkorogo balaa aisee
Sikujificha mkuu aseeh, mihangaiko tuMkuu ulijificha wapi aisee!?
Tarehe 1/9/2017 ..nipo mkuu nimerejea rasmi..pitia huu uzi kwa maelezo zaidi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1310986/mkuu karibu tena..vipi hujanipitia kunisabahi?..hivi umerejea lini humu?[emoji275]
Pamoja sana mkuu...Hata mimi niliwamiss sanamiss u mkuu!
ukitaka kumjua rangi yake halisi muangalie miguuni
so ume advanceSiyp ya siku hizi. Ukiona kuna rangi tatu ujue anatumia mkorogo fake. Wengine huwezi wajua
Karibu tena!
Shukrani mkuuKaribu tena!
Duh!!!Bila kusahau maji ya batter na dawa mseto ya malaria inatiwa kwnye mkorogo
Ohooooo!!![emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Tena kwa mkorogo huo mpitie karibu huwa wanatoa harufu kama nyau kanya hapana kwa kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm wananivutiaga mno hasa nikikuta yule ana rangi mbili daah huwa nahisia mnoSijui ni kwanini sijawahi kuvutiwa na wanawake waliojibabua ngozi..