Huyu mke wa mkubwa wa Mkubwa Fella ,hivi ni shombe shombe au mzungu???

Huyu mke wa mkubwa wa Mkubwa Fella ,hivi ni shombe shombe au mzungu???

Hhahaha watu mnafukua makaburi.
Sema na wew usiwe mpelelez sana
 
Akifulia anakuwa wa pinki, wakija kufulia zaidi, atakuwa wa brown alafu ndio atakuwa hawezi hata kutembea juani
 
matumizi yakipungua matokeo yake :-
! sura mirinda
! miguu pepsi

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???
05aa99fbb08bd035c993bef08951c89a.jpg
5984fe8ad494406c4bcd442bcf30a09f.jpg
e2db3a7fb714c4d4440e90bb779bb216.jpg


-Ndumilakuwili-
Kama zimwi!
 
Hiyo mbona ni midori ya kuuzia nguo k'koo?au macho yangu yamekula 'tango pori'?
 
Muonekano wa huyu mwanamama mke wa mkubwa Fella huwa unanipa mkanganyiko maana ni wa kipekee,kwa wanao mjua hebu tujuzeni ni mzungu au ni shombe shombe???
05aa99fbb08bd035c993bef08951c89a.jpg
5984fe8ad494406c4bcd442bcf30a09f.jpg
e2db3a7fb714c4d4440e90bb779bb216.jpg


-Ndumilakuwili-

Angekua shombe angezaa watoto weusi kaa mkaa
 
Back
Top Bottom