mkwepu jr njoo unaitwa , nachojua Mimi huyu mwamba ni mwalimu wa shule ya msingi , huko Rorya , Mkoani Mara , ...japo yeye ni mzaliwa wa mkoa wa Pwani ... Ni Mzee wa kubet Sana , alaf anashow love Sana Kwa Wana , yupo daraja moja na Extrovert
Mtoa mada utafuatilia wangapi humu,relax na kama upo bored njoo huku lingusenguse tulime mpunga, kama upo Dar panda new force hadi songea then nitakufuata pale!!
Mtoa mada utafuatilia wangapi humu,relax na kama upo bored njoo huku lingusenguse tulime mpunga, kama upo Dar panda new force hadi songea then nitakufuata pale!!