Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Anateseka huku mkuu anaelekea BurundiLiutopolo likiteseka kimya kimya nyuma ya keyboard ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anateseka huku mkuu anaelekea BurundiLiutopolo likiteseka kimya kimya nyuma ya keyboard ..
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu
Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.
Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.
Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Matangazo anayoweka kwenye majezi yetu yeye anatulipa nini. Simba Ni kubwa kuliko Mo, Ila watu km wewe uwezi elewa Hilo. Simba inajiuza brother, tumechoka mikataba ya kinyonyaji aiseeShabiki anachohitaji ni furaha tu,klabu yako umewekeza nini?
Yeye analipia gharama zote za klabu kuanzia mishahara na mambo mengine,wewe umefanya nini?
Sasa Kama Simba hawamjali yeye afanyeje? Yaani anafanyishwa kazi bila mkataba alafu tunadanganywa clab inaendeshwa kisasa kumbe nyuma ya pazia Ni wizi mtupu.Hivi hii issue ipo vipi ke-ethics tena especial kwenye hizi timu pinzani katka ya YANGA,SIMBA NA AZAM
Maana HAJI MANARA ni Mfanyakazi wa SIMBA lkn ni BALOZI wa AZAM GROUP na pia ni BALOZI wa GSM GROUP vile hii imekaa sawa sawa katika ulimwengu wa soka Nauliza tu maana humu kuna GT.
hamna cha utopolo hapo.Liutopolo likiteseka kimya kimya nyuma ya keyboard ..
Wizi gani unafanyika pale SIMBA ?Sasa Kama Simba hawamjali yeye afanyeje? Yaani anafanyishwa kazi bila mkataba alafu tunadanganywa clab inaendeshwa kisasa kumbe nyuma ya pazia Ni wizi mtupu.
Utopolo mnacheza ndombolo la manara..Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu
Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.
Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.
Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Makomandoo mmepigwa pini hela ya kula haipo tena.Bora tubaki na klabu yetu kuliko timu yetu kuhodhiwa na tapeli anayejiita mwekezaji
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu
Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.
Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.
Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Du maisha yanaenda kasi, leo Manara anasutwa hivi. Hata siamini.
Kabla huyo Mo hajafika kuiendesha hiyo timu hiyo brand kubwa yenu mlifanikiwa lipi mafukara nyie?Matangazo anayoweka kwenye majezi yetu yeye anatulipa nini. Simba Ni kubwa kuliko Mo, Ila watu km wewe uwezi elewa Hilo. Simba inajiuza brother, tumechoka mikataba ya kinyonyaji aisee