Huyu Mo Dewj ni tapeli, atuachie Simba yetu

Huyu Mo Dewj ni tapeli, atuachie Simba yetu

Matangazo anayoweka kwenye majezi yetu yeye anatulipa nini. Simba Ni kubwa kuliko Mo, Ila watu km wewe uwezi elewa Hilo. Simba inajiuza brother, tumechoka mikataba ya kinyonyaji aisee
Ni kweli Simba Sports Club inajiuza kama unavyodai lakini hebu fikiria hili kwanza

Kwani unahisi audience anayopata au subscribers anaowapa Mo hawezi kutumia njia nyingine tofauti na kutumia matangazo kwenye jezi ya SSC ?

Anyway Mo anaweza tumia ata tv stations,radio n.k na akatangaza Metl vizuri zaidi ya unavyodhania.

Ndio kwa maelezo yako unaona anafaidi sana,basi fanya hivi weka pesa yako SSC and we as simba sports club fans we will show the man his exit otherwise tafuta pesa siku ukipata yakutosha njoo SSC utapewa hizo hisa ili uone kama ni rahisi kuwekeza kwenye mpira wa tz
 
Imekuchomae, na bado hiyo timu mtaiachia tu, kaanzisheni ya kwenu tuachie sisi maskini na timu yetu.
Hatuwataki masikini sisi kwa kuwa hawana lolote bali wanachohitaji ni kutimiza matakwa yao ya kimasikini huku timu ikiwa haina mafanikio yoyote

Kama wewe na masikini kaa mbali na Simba yetu fukara wahed wewe

Simba hii ya sasa imeshagraduate,sio ya kuendeshwa waganga njaa kama nyie,wanatakiwa watu wenye pesa ikiwezekana zaidi ya za Mo,sio nyie mafukara mnaotaka kuturudisha tulipotoka
 
Tut
Hatuwataki masikini sisi kwa kuwa hawana lolote bali wanachohitaji ni kutimiza matakwa yao ya kimasikini huku timu ikiwa haina mafanikio yoyote

Kama wewe na masikini kaa mbali na Simba yetu fukara wahed wewe

Simba hii ya sasa imeshagraduate,sio ya kuendeshwa waganga njaa kama nyie,wanatakiwa watu wenye pesa ikiwezekana zaidi ya za Mo,sio nyie mafukara mnaotaka kuturudisha tulipotoka
Hata Kama sisi Ni maskini Ila haifuti umiliki wetu kwa club hii. Na Kama Ana pesa tunamshauri akaanzishe ya kwake tuone Kama ataweza ifikisha alipoikuta Simba sc. Nakuakikishia timu yake haiwezi chukua hata ndondo cup
 
Ebu tuondoleeni uswahili wenu wa k.koo..tunataka mpira uendeshwee na wenye pesa mpira ni pesa sio ushabik wa kipuuzi puuz na wazee wa k.koo kuikalia team toka uhuru.

Simba leo inaenda had robo fainal nusu aingie semifinal..huko nyuma team ilikuwa ya kiswahl tu inaendeshwaa na waswahili..pelekeshen huko wachen wenye pesa waendeshe team.

Ingekuwa ni mimi yaan mo angepewaa hiyo yote aimilik tunataka team iende kimataifa zaid sio kuishia k.koo tu kwa waswahil
Waanzishe timu yao waiendeshe kisasa, kama mpira ni pesa peke kwa nini Mo alishindwa kuifikisha Singida United fainali za Afrika?. Social capital (fan base) kwenye soka ni mtaji mkubwa sana. Mo hapo Simba siyo mwekezaji, ila mtu anayetaka jukwaa la Simba kutangaza biashara zake. Huu mfumo unaosema ni mbovu uliwahi kuifikisha Simba kwenye fainali ya vilabu Afrika. Hivyo Mo asiwahadae kuwa kuna kitu kikubwa sana alichokifanya.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Na nyie kama mna uchungu kaanzisheni timu yenu sio kung'ang'ania simba huku mkiwa hamna faida yoyote kwa klabu yetu.

Tuambieni mna kipi cha ziada ili tuwapishe tuwape timu nyie mafukara msio na maana
Yaani tuachane na timu yetu tukaanzishe timu nyingine? huyu Kanjibhai lazima atoke na genge lake. Alivyokuja tu na kuanza kudai hati za viwanja nilijua huyu kawazidi wale matapeli wa mtaa wa Congo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu

Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.

Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.

Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Subirini J2 tukufungeni tena ili mfukuzane vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu

Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.

Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.

Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
Hawa misukule wa Mo hawatakuelewa, kamwe
 
Tut

Hata Kama sisi Ni maskini Ila haifuti umiliki wetu kwa club hii. Na Kama Ana pesa tunamshauri akaanzishe ya kwake tuone Kama ataweza ifikisha alipoikuta Simba sc. Nakuakikishia timu yake haiwezi chukua hata ndondo cup
Wewe masikini utaisaidia nn Simba?
 
Yaani tuachane na timu yetu tukaanzishe timu nyingine? huyu Kanjibhai lazima atoke na genge lake. Alivyokuja tu na kuanza kudai hati za viwanja nilijua huyu kawazidi wale matapeli wa mtaa wa Congo.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hati hawezi kupewa,ila na nyie makapuku mmewekeza nn ktk klabu?
 
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu

Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.

Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.

Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
We we ni yanga umetumwa, kama hujatumwa umejituma mwenyewe kuiharibu simba.... Daah! Njaa mbaya sana, pole sana, unalotaka litokee haliwezi tokea...
 
Huyu sio mwekezaji bali ni tapeli alikubuhu

Amejimilikisha timu kinyume na Sheria, anawatumia mashabiki mbumbumbu na maamuma wa Simba kumkingia kifua.

Mwambieni Simba hawezi kuimiliki na ataondoka kwa aibu. Aende kwao akaanzishe timu yake, sisi simba asili hatumtaki.

Ameiibia simba vya kutosha, sasa basi
We maku una kitu cha kuibiwa na Mo?
 
Back
Top Bottom