Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Una kadi ya uanachama wa Simba SC na kama unayo uliipata mwaka gani?

Kama huna kaa kimya au piga kelele ukiridhika kunywa maji endelea na shughuli zako maana huna uamuzi wowote ndani ya Club yetu.
 
Umejidhalilisha tu, yeye hakuwa mjinga kuahidi kitu ambacho hawezi,isitoshe kwenye makubaliano haya kuna mkono wa serikali unapomtaja magufuli ni dharau kwa serikali yake ambayo ilisimamia mchakato wa umiliki kupitia wizara ya michezo, bila mo simba ingekuwa kama club zingine tia maji tia maji, acha chokochoko subiri mchakato ukamilike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mo sawa ni tapeli haya kaondoka leo wewe una hata million 3 ya kumlipa mchezaji mmoja tu kila mwezi?

Una uanachama wa Simba SC?
Hatujali kuhusu wazee wako na hatutajali, tunachojali ni sisi wanachama tumefanya maamuzi haya basi.
 
Wewe ni moja kati ya wale mnaofanya serikali icheleweshe bangi kuruhusiwa!

Eti Voda B Azam B Sportpesa B yani unaandika kama umeshikwa na tumbo la kuhara
Kiongozi, popote utakapomuona mtu anazungumzia habari za Simba B au Yanga B timu ambazo nazo zinashiriki ligi kuu huyo ni kilaza.

Hata usimpe airtime kabisa ni shabiki maandazi mpiga kelele tu hana impact yoyoye.
 
Una kadi ya uanachama wa Simba SC na kama unayo uliipata mwaka gani?

Kama huna kaa kimya au piga kelele ukiridhika kunywa maji endelea na shughuli zako maana huna uamuzi wowote ndani ya Club yetu.
Ha ha ha ha ha, eti una uamuzi gani? Yaani akiyefanya hizi timu zikawa Dar ndiye aliyekosea maana nyie Wazalamo mkishapakizwa kwenye Costa mkapewa ubwabwa basi kila kitu sawa. Eti huko ndo kuamua!
 
Kwa Nini msirekebishe mikataba au mfute hile isiyo na tija...
Ana hata uwezo wa kupata 50k kwa siku huyo?
Tumkabidhi tu Patrick amlipe kwa miezi miwili akiweza nachana kadi yangu ya uanachama.
 
Ha ha ha ha ha, eti una uamuzi gani? Yaani akiyefanya hizi timu zikawa Dar ndiye aliyekosea maana nyie Wazalamo mkishapakizwa kwenye Costa mkapewa ubwabwa basi kila kitu sawa. Eti huko ndo kuamua!
Mimi ni Msukuma wa Mwanza sina uzaramo wala upwani wowote.

Nina kadi ya uanachama wa Simba toka 2007 nimeshiriki shughuli mbalimbali za club, nimeshiriki kwenye maamuzi mbalimbali ya club na kubwa kabisa nimeshiriki katika mabadiliko ya kimfumo ya club yetu.

Hivyo mimi sio SHABIKI wa Simba mimi ni Mwanachama wa Simba SC niliye hai.
Nyinyi mtapiga kelele weee hata hatuwajadili tunapokutana hata kidogo tunafanya yanayotuhusu kwa tashwishwi zetu sio zenu wapiga kelele.
 
Akitoka utailea simba wewe?
 
 
Maamuzi gani Wanachama mlishawahi kufanya zaidi ya kubwebwa na Costa na kwenda kukaa zeni mnasema limepita. Hakuna mnachoamua the so called wanachama!
 
Simba SC inafaidika zaidi na uwepo wa MO kuliko MO anavofaidika na Simba SC
Hakuna kitu kama hicho...
Hakuna mfanyabiashara anayefanya biashara isiyomfaidisha.

Hoja yako haina mashiko au mwenzetu unaweza kufanya biashara isiyokufaidisha binafsi lakini inamnufaisha mkeo/mpenzi yaani ukiifanya hupati kitu lakini yeye (mkeo/mpenzi anatabasamu)
 
Kwani nani kasema anafanya kwa hasara?

Saiv wanaweka mambo sawa ili baada ya mchakato ndipo waanze kupata faida.

Hamna biashara utapata faida bila kuwekeza mkuu
Hivi huu mchakato wa transformation ya Simba Sport Club unaisha lini. Maana inaweza kuwa Mo anatumia umaskini wa Simba kujinufaisha yeye.
 

Umesahau Manji akijifanya anafadhili na kutusaidia Yanga akaja kuwaandikia deni hela yake yote nusu anunue club bure kabisa?
 

Watu njaa njaa hawatakuelewa
 
Ngoja tumwondoe MO tumrudishe Mzee wetu Kilomoni.
Simba hatutaki kuongopewa.
MO anapata faida tu huku Simba ikipata hasara kubwa.
Bora tubaki kama Zamani
 
Hivi huu mchakato wa transformation ya Simba Sport Club unaisha lini. Maana inaweza kuwa Mo anatumia umaskini wa Simba kujinufaisha yeye.
huu mchakato sio wa mwaka mmoja umachukua muda mrefu na sasa ndio upo ukingoni

Unaweza ukaniambia Mo ananufaika vipi na simba kwa sasa?
 

Simba ilikuwepo kabla Mo hajazaliwa
Ili survive vipi?Au hujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…