Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Hivi huyu Mo anawezaje bila aibu kusema bado hajawekeza Bilion 20 Kwa mujibu wa mkataba Ila anachofanya sasa ni kuipa Simba 'ruzuku' ya bilioni 3 kila mwaka?
Simba sio timu ya kupewa ruzuku.
Timu kubwa kuliko zote east Africa Kwa fan base inampa yeye Mo 'free promo ya Bidhaa zake zote '
Hadi anaweza kuwazidi Azam Kwa sales...hadi Diamond kampa free promo Kwa kupitia Simba..
Toka ajihusishe na Simba mauzo ya Bidhaa zake yame tripple na amekusanya zaidi ya hizo bilion 3 kila siku Kwa faida..halafu bila aibu anakuja kusema anatoa ruzuku Simba...
Magufuli atusaidie kumdhibiti huyu Mo..agharamie matangazo yote ya Bidhaa zake kimkataba na atoe hela Kwa mujibu wa mkataba
Mzee mwenzangu leo sijakuelewa kabisaaaaaa sijui umekula maharagwe ya wapi [emoji23]
Kwa mujibu wa taratibu sioni Magufuli anahusikaje na hili
Pili wewe hujui mikataba inasemaje kuhusu hizo b20 kwamba zitatokaje kwa awamu ngapi na baada ya stage ipi ya transformation
Tatu hujui chochote kuhusu ruzuku kama ni sehemu ya mkataba na haihusiani na 20b
Kuhusu matangazo mzee baba ni sehemu ya mkataba Mo kuwa mwekezaji mapesa yote hayo ni matangazo yatakayo mlipa zaidi kuliko gawiwo unalofikiria wewe
So relax mkuu kila kitu kinakwenda accordingly to mkataba
Mo anamkataba na Simba na hakuna mahali umesikia Simba SC imelalamika Mo anaitapeli
Sijui wewe ni shabiki wa timu gani lakini kwanini wasio kuwa wana simba ndio wanajifanya wanauchungu sana na Simba kutapeliwa na Mo?.........najiuliza tu