Huyu Mo ni tapeli, Magufuli atusaidie kumdhibiti

Maamuzi gani Wanachama mlishawahi kufanya zaidi ya kubwebwa na Costa na kwenda kukaa zeni mnasema limepita. Hakuna mnachoamua the so called wanachama!
Pole sana.
Endelea kujichosha hakuna anayejali hata kidogo tumewapuuza zamani sana kabla hata ya Instagram!
 
tatizo huko simba wana washabiki oyaoya wengi, Mo anajifanyia atakavyo
 
Mtoa mada ni shabiki wa utopolo 🐸 🐸..
 
Kweli yale majengo ya simba unaweza kukopea ukapata hizo bil 20?
Kuwa serious na vitu vya msingi
 
Kwahiyo ukinunua hisa zako VodaCom za 2% mzigo wote wa matumizi ya kila siku ya kampuni yanakuhusu wewe na wengine wenye 98% ya hisa haiwahusu kwasababu VodaCom ni brand kubwa.

Huu ni uchumi wa wapi ?
 
Km engineer anavyowafanya km anavyotaka hadi mnambeba km nyie watumwa
kule wanafanya kwa hiari , ila Mo amesaini anahitajika kutekeleza, Mo ameshajua oyaoya wao furaha yao ni kuwa juu ya yanga anatumia vijisenti kidogo kupata matokeo nje ya uwanja, Mo please wawekee Simba bilioni 20, hizo bilioni 3 za kila hamhakubaliana hivyo!
 
MO nimemuona kibuyu kusema ET walimfukuza uchebe ET kwa sababu malengo yao yalikuwa kufika group stage au semi finals pia ET kishingo ameambiwa lengo n kufika group stage au semi finals that is foolishness kwa wachezaji gan aliowasajili n mweupe kichwan Sana
 
Huyu mo huwa ni muongo muongo mkuu
 
Acha wivu wee mo Ana mkataba na Simba kupitia kichwaji chake Cha mo energy
 

Unajua maana ya uwekezaji kweli au unapiga kelele? Mo anacho kifanya anatengeneza miundo mbinu sahihi ya uwekezaji ambayo simba waliingia pasipo kuwa nayo. Simple , simba ni club ya mpira kubwa kabisa, ilikuwa haina uwanja wa mazoezi, haina hata, haina facilities za mazoezi , kulipa wachezaji na mgt tuu ni tatizo unataka aweke 20B then wakatengeze miundo mbinu , kulipana huko huku ikishika nafasi ya 10 kwenye ligi? Uwekezaji unatakiwa kuendana na. Mazingira bora ndio kaana nyie CDM mnabweka kila siku wakati JPM anaandaa umeme wa uhakika, barabara n.k mnabaki kuvimba vimba tuu [emoji1]
 
Acha ushabiki maandazi wewe

Hiv unajua spotpesa anatoa hiyo blion 5 kwa mda gani?

Voda nae anatoa hiyo hela kwa mda gani?

Unao mkataba kati ya simba na Mo ? weka hapa na sio kutema mate ovyo ovyo. Hujui lolote zaidi ya roho ya kimaskini na wivi njaa vinakusumbua
 
MO pale Simba anafaidika na nini? Anatoa hela nyingi kuliko anazoingiza ndiyo maana anapambana Simba ifanye vizuri Champions league ila siyo VPL
 


Sidhani kama wewe ni mwanachama, au shabiki wa Simba. Unaonyesha ni jinsi gani unapenda Simba iharibikiwe!
Umeandika ukweli ila sidhani kama hawa mikia watakuelewa! Na Mwamedi ameshawajulia......!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…