Huyu mpangaji mwenzangu nashindwa kunielewa

Kweli wewe ni kijana.
 
Jifanye usalama wa taifa.

Una id ya NiDa? Unamuonyesha huyo mama wa makamo haraka haraka na kuirudisha, hakikisha kaona bendera
😂😂😂
hakuna kitu kama hicho kwangu kufuatilia maisha ya watu
 
aisee tumecheka na wife nilivyo msimulia
hapana kwakweli labda kwa watu wa mbali kidogo
 
Wala sio Dar tu Tz yote
 
Duh, hatari sana nyumba za kupanga! Mimi alikuwapo binti mmoja ameolewa akawa kidomodomo sana mara oooooh hana nguvu za kiume maana hatujawahi kumwona na demu yeyote, mara hana kazi anazurura tu! Nilipomwonesha demu wangu napo akaanza oooh ni hako hako kamoja kama jino la mbung'o! Siku moja mme wake ameenda kazini nikamvutia ndani nikampa vya kupewa wala sikuhangaika kutongoza. Ilikuwa alivyoingia ndani nikavuta moja kwa moja kitandani kama nasukuma mlevi! Wachape wote ila ufanye kwa akili mwamba!🤣🤣🤣🤣
 
Sasa hayo si madogo sana! Je ikifikia UKAITWA we Jambazi au una chuma ulete! Huku kwetu hawakawii kukuita mwizi,jambazi,chuma ulete n.k
 
aiseeh ushauli wako ni mzuri lakini siwezi kuwafanya hivo wao acha waseme watajijua maana hakuna wanacho nipunguzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…