Huyu mpangaji mwenzangu nashindwa kunielewa

Huyu mpangaji mwenzangu nashindwa kunielewa

Si ajabu hayo maneno wala si ya hao wake wa wapangaji wenzio ila huyo mother ni mfitini tu na ni umbea wake tu.
 
Hata mimi nimewahi kusemwa hivyo, lakini sikuwalaumu sababu hata mwenye nyumba ambaye tunaishi ndani ya uzio mmoja pamoja na kumwambia na kuniona kazini bado hajawahi kuamini.

Ila kwa wewe nahisi unalelewa kweli, mfanyabiashara hawezi kubaki nyumbani mchana kila siku. Mimi mwenyewe sibaki nyumbani daily ila tu mida yangu haieleweki, leo ntarudi home jioni, kesho narudi saa tatu asubuhi au saa saba.

Na ni kazi ya serikali so nikitega bado kiji-salary kipo palepale, sasa wewe mfanyabiashara ukitega si ndo basi tena? Hata kama umeajiri vijana bado wanahitaji usimamizi.

So, nahisi wanakuhisia sawasawa
 
Hata mimi nimewahi kusemwa hivyo, lakini sikuwalaumu sababu hata mwenye nyumba ambaye tunaishi ndani ya uzio mmoja pamoja na kumwambia na kuniona kazini bado hajawahi kuamini.

Ila kwa wewe nahisi unalelewa kweli, mfanyabiashara hawezi kubaki nyumbani mchana kila siku. Mimi mwenyewe sibaki nyumbani daily ila tu mida yangu haieleweki, leo ntarudi home jioni, kesho narudi saa tatu asubuhi au saa saba.

Na ni kazi ya serikali so nikitega bado kiji-salary kipo palepale, sasa wewe mfanyabiashara ukitega si ndo basi tena? Hata kama umeajiri vijana bado wanahitaji usimamizi.

So, nahisi wanakuhisia sawasawa
elewa kwamba watu hatufanani aina ya maisha, labda unataka kufahamu nina jishugulisha na biashara gani na nina iendeshaje. kifupi mimi nimesha tega hata nisipo kuwepo ofisini mambo yanaenda. kaziyangu nikwenda kukusanya mzigo ukipungua au baadhi ya mahitaji yakiisha nitaleta utapangwa na nitawapangia bei. na usiku nikwenda kufunga mahesabu nakua nimemaliza

na kuhusu usimamizi nasimamia coz kilasiku lazima nitembelee site na kama kuna mapungufu nitajua tu.

na mambo si haba God is good

na kuhusu maneno ya mimi kulelewa hayo yatabaki kwenye kila mtazamo wakila mtu kutokana na vile atakavyo ona yeye. acha waje kushtuka siku nimehamia kwangu
 
elewa kwamba watu hatufanani aina ya maisha, labda unataka kufahamu nina jishugulisha na biashara gani na nina iendeshaje. kifupi mimi nimesha tega hata nisipo kuwepo ofisini mambo yanaenda. kaziyangu nikwenda kukusanya mzigo ukipungua au baadhi ya mahitaji yakiisha nitaleta utapangwa na nitawapangia bei. na usiku nikwenda kufunga mahesabu nakua nimemaliza
Unajisikiaje kuwa unashinda nyumbani kila siku mkuu? Pamoja na kwamba una biashara zako zinazokuingizia kipato sawa, umetega hata usipokuwepo kazini bado biashara itafanyika nayo ni Sawa tuu.

Lakini kumbuka nature ya mwanaume sio ya kushinda nyumbani kila siku hata kina MO wameajiri na pesa inaingia hata akitaka akae home milele but ana ofisi ambayo utamkuta huko.
Nilichotaka kusema ni kwamba wana haki ya kukusema koz sio kawaida kwa mwanaume kushinda nyumbani kila siku unless hana kazi kabisa.
Trust me hata mke wako atakuwa hayupo comfotable na hiyo hali ila hawezi kusema unless ukibaki home unamsaidia majukumu ya kudeki, kufua, kuosha vyombo au kupika hapo ndio hatajali sana .
 
Hata mimi nimewahi kusemwa hivyo, lakini sikuwalaumu sababu hata mwenye nyumba ambaye tunaishi ndani ya uzio mmoja pamoja na kumwambia na kuniona kazini bado hajawahi kuamini.

Ila kwa wewe nahisi unalelewa kweli, mfanyabiashara hawezi kubaki nyumbani mchana kila siku. Mimi mwenyewe sibaki nyumbani daily ila tu mida yangu haieleweki, leo ntarudi home jioni, kesho narudi saa tatu asubuhi au saa saba.

Na ni kazi ya serikali so nikitega bado kiji-salary kipo palepale, sasa wewe mfanyabiashara ukitega si ndo basi tena? Hata kama umeajiri vijana bado wanahitaji usimamizi.

So, nahisi wanakuhisia sawasawa


Mfanyabiashara mvivu huyu.

Yaani yeye hana kazi halafu anaajiri vijana huku yeye anashinda nyumbani. Why asijiajiri mwenyewe ili hela anazomlipa huyo kujana ajilipe mwenyewe kuliko kushinda nyumbani amelala kutwa nzima
 
Mfanyabiashara mvivu huyu.

Yaani yeye hana kazi halafu anaajiri vijana. Why asijiajiri mwenyewe ili hela anazomlipa huyo kujana ajilipe mwenyewe kuliko kushinda nyumbani amelala kutwa nzima
hakuna unalojua kuhusu maisha yangu. kifupi hayo ndio maisha nilio chagua na nina yapenda. na kuhusu kuajiri vijana nitaendelea kuajiri kadri mungu atakapo endelea kunijaalia riziki
 
Unajisikiaje kuwa unashinda nyumbani kila siku mkuu? Pamoja na kwamba una biashara zako zinazokuingizia kipato sawa, umetega hata usipokuwepo kazini bado biashara itafanyika nayo ni Sawa tuu.

Lakini kumbuka nature ya mwanaume sio ya kushinda nyumbani kila siku hata kina MO wameajiri na pesa inaingia hata akitaka akae home milele but ana ofisi ambayo utamkuta huko.
Nilichotaka kusema ni kwamba wana haki ya kukusema koz sio kawaida kwa mwanaume kushinda nyumbani kila siku unless hana kazi kabisa.
Trust me hata mke wako atakuwa hayupo comfotable na hiyo hali ila hawezi kusema unless ukibaki home unamsaidia majukumu ya kudeki, kufua, kuosha vyombo au kupika hapo ndio hatajali sana .
😁😁😁 kaka haya maisha huwezi kumpangia mtu jinsi ya kuishi na kuhusu mke wangu mimi na yeye ndio tunajua tunavyo ishi. niwe napiga deki kupika au kumfulia chupi it's okay, ilimladi simtegemei mtu kuniendeshea maisha
 
Unajisikiaje kuwa unashinda nyumbani kila siku mkuu? Pamoja na kwamba una biashara zako zinazokuingizia kipato sawa, umetega hata usipokuwepo kazini bado biashara itafanyika nayo ni Sawa tuu.

Lakini kumbuka nature ya mwanaume sio ya kushinda nyumbani kila siku hata kina MO wameajiri na pesa inaingia hata akitaka akae home milele but ana ofisi ambayo utamkuta huko.
Nilichotaka kusema ni kwamba wana haki ya kukusema koz sio kawaida kwa mwanaume kushinda nyumbani kila siku unless hana kazi kabisa.
Trust me hata mke wako atakuwa hayupo comfotable na hiyo hali ila hawezi kusema unless ukibaki home unamsaidia majukumu ya kudeki, kufua, kuosha vyombo au kupika hapo ndio hatajali sana .
😆😆mkuu umejibu vizuri ila dunia ya sasa sio lazima mwanaume awe anatoka kila siku ili kutafuta...tena janga la covid ndio limefanya watu wengi wazoee kufanyia shughuli zao nyingi nyumbani...kuna wengi tu ambao wamegeuza baadhi ya vyumba nyumbani kama ofisi zao so wanashinda home na kupata kipato kizuri sana. Ninawafahamu watu wengi wanaofanyia kazi zao nyumbani na wanapata riziki nzuri sana kushinda wengi wanaotoka majumbani na kurudi usiku..muhimu ni kujitafutia riziki kihalali iwe ukiwa na shughuli zako nyumbani au nje ya unapoishi.
 
😆😆mkuu umejibu vizuri ila dunia ya sasa sio lazima mwanaume awe anatoka kila siku ili kutafuta...tena janga la covid ndio limefanya watu wengi wazoee kufanyia shughuli zao nyingi nyumbani...kuna wengi tu ambao wamegeuza baadhi ya vyumba nyumbani kama ofisi zao so wanashinda home na kupata kipato kizuri sana. Ninawafahamu watu wengi wanaofanyia kazi zao nyumbani na wanapata riziki nzuri sana kushinda wengi wanaotoka majumbani na kurudi usiku..muhimu ni kujitafutia riziki kihalali iwe ukiwa na shughuli zako nyumbani au nje ya unapoishi.
asante sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16] kaka haya maisha huwezi kumpangia mtu jinsi ya kuishi na kuhusu mke wangu mimi na yeye ndio tunajua tunavyo ishi. niwe napiga deki kupika au kumfulia chupi it's okay, ilimladi simtegemei mtu kuniendeshea maisha
Umeleta bandiko lako public tegemea maoni tofautitofauti. Usitegemee wote tutawasema jirani zako hapana. Maana hata ningekuwa mimi ndio jirani yako halafu kila siku nakuona unashinda nyumbani mkeo anaenda kazini ningeshangaa hata kama hayanihusu. Sio nature yetu hiyo
 
[emoji38][emoji38]mkuu umejibu vizuri ila dunia ya sasa sio lazima mwanaume awe anatoka kila siku ili kutafuta...tena janga la covid ndio limefanya watu wengi wazoee kufanyia shughuli zao nyingi nyumbani...kuna wengi tu ambao wamegeuza baadhi ya vyumba nyumbani kama ofisi zao so wanashinda home na kupata kipato kizuri sana. Ninawafahamu watu wengi wanaofanyia kazi zao nyumbani na wanapata riziki nzuri sana kushinda wengi wanaotoka majumbani na kurudi usiku..muhimu ni kujitafutia riziki kihalali iwe ukiwa na shughuli zako nyumbani au nje ya unapoishi.
Ni kweli kabisa lakini kwa nature yetu watanzania sijui niseme waafrika mambo ya working from home sio sana tofauti na wenzetu na ndio maana majirani wanashangaa na kuhisi mwamba analelewa.
 
Back
Top Bottom