Huyu mpangaji mwenzangu nashindwa kunielewa

Upo vizuri sana lakini lisemwalo lipo kama halipo linajongea
 
Jenga kwako basi ili upunguze maneno ya majirani maana ukiwa kuta njee hawakumizi kama wanakucheka unaishi nao
 
Mkuu, toka kacheze hata draft mtaa mwingine kama umeridhika na kipato. Usishinde ndani iwapo ww ni below 45.

Mfanya biashara gani anayeshinda nyumbani na amepanga nyumba za kushirikiana uwanja?
 
Jenga nyumba Yako utakua huru sana yumba ya kupanga Inamambo mengi huwezi ata kwenda uchi
 
Anza kupanga nyumba nzima
 
Mtembea bure si sawa na mkaa bure.

Usijiendekeze kukaa sana ndani sio vizuri mkuu.

Idle mind is a workshop of devil.
 
Naona wameamua kukushambulia wewe Tena mkuu🤣😄,futa Uzi wako umsubiri mke wako akutengee maji ya iriki ukaoge zako upumzike walimwengu hawana dogo
 
Yote ya Nini hayo kuelezea watu Maisha yako!? Wachaa wao wafikirie wanavyotaka wao,Kama kuna Mtu anataka kweli taarifa zako aje uso kwa uso na siyo kusemea pembeni,na Mtu anaekusemea pembeni huyo ujuwe anakuogopa!!
 
Yote ya Nini hayo kuelezea watu Maisha yako!? Wachaa wao wafikirie wanavyotaka wao,Kama kuna Mtu anataka kweli taarifa zako aje uso kwa uso na siyo kusemea pembeni,na Mtu anaekusemea pembeni huyo ujuwe anakuogopa!!
apo sasa
 
Hii Jf sijui inakwenda wapi yani watu wote wamemgeuka ndugu mtoa uzi mpaka kapewa na jina " mfanyabiashara mvivu"
 
Dogo Mimi ni mpangaji mwenzio,ni kweli hata Mimi hizo story nimesikia
 
Hii Jf sijui inakwenda wapi yani watu wote wamemgeuka ndugu mtoa uzi mpaka kapewa na jina " mfanyabiashara mvivu"
Mfanyabiashara makini huyu,pesa inamtumikia badala ya yeye kuitumikia pesa kama Wafanyabiashara wengi wao huitumikia pesa hadi hata usingizi hawapati, au hata muda wakua na familia zao hawana kisa wanakimbiza pesa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…