Sijamchamba, bali nimemsikitikia. Kama anakataa vijana wa rika kama yangu, wenye muonekano na usmart huu, walioamua kujitolea tu walau kumsitiri kama sio kuistiri mbususu yake na kuwatolea maneno ya kashfa namna hii, hivi maisha yake anayaweka kwenye rehani ya aina ipi ilihali muonekano wake hauvutii? Plus ngozi yake kama ya mamba na macho yake kama ya bundi?