Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Ukimfollow onyesha kama unakula bata huko Marina Dubai, mara umepanda ndege daraja la kwanza kwenda kumsalimia Biden, mara unaogelea na kula bata visiwa vya Bora bora Maldives na hizo picha si lazima uende huko mimi nipo tayari kukufanyia photoshop ya nguvu bure huku ukiendelea kula mihogo Buza kwa Mpalange
Kwa hiyo anadanganyika🤣🤣
 
Nilipokuwa huko Chuga nilisikia Vijana flani wakiwaponda eti Ni wazuri Ila Wana ubongo mdogo Sana,je Kuna ukweli wa hili mkuu?
Wairaq wako soft sana yaani kwa huo mzigo ujue ni soft na mwili mzima ni kama wa mtoto ukimgusa. Na wengi washamba waliotokea uko so mwanzoni sio expensive. Sio wajinga kivile nilisoma nao shule ila hawana exposure wala ujanja. Ila sio intelligent
 
Wairaq wako soft sana yaani kwa huo mzigo ujue ni soft na mwili mzima ni kama wa mtoto ukimgusa. Na wengi washamba waliotokea uko so mwanzoni sio expensive. Sio wajinga kivile nilisoma nao shule ila hawana exposure wala ujanja. Ila sio intelligent
Yaah kwa usoft Ni kweli Wana ngozi so amazing na Ni wazuri sana...Mungu atutunzie utalii wetu...Ila kwenye kaushamba wako poa
 
Ni mzuri kweli sijakataa,bado kigoli,yaani kabichi kabisa lakini ndio BMW X5 ,Jamani hebu tuipe heshima hiyo gari....huyo peleka shopping tu avue hizo slippers basi
Dah sasa umekubali kuwa mzuri bado mdogo na kigoli so why hasipatiwe bmw x5 wakati wewe mwanamke mwenzie umekubali uzuri wake
 
Ni mzuri kweli sijakataa,bado kigoli,yaani kabichi kabisa lakini ndio BMW X5 ,Jamani hebu tuipe heshima hiyo gari....huyo peleka shopping tu avue hizo slippers basi
Vijana wamekuwa waoga sana... vita vya Kagera hawa wangehama nchi. Hawa mabinti wa Insta dawa yao ni kuwadanganya tu na hela kidogo ya kubadili chupi. Tena hako kabinti ni kukaita kwa ishara tu bila maneno mengi.
 
Dah sasa umekubali kuwa mzuri bado mdogo na kigoli so why hasipatiwe bmw x5 wakati wewe mwanamke mwenzie umekubali uzuri wake
Narudia Tena Mzabzab,heshimuni brand za watu..nimeshakwambia Cha kumfanyia huyo mtoto mzuri..
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Narudia Tena Mzabzab,heshimuni brand za watu..nimeshakwambia Cha kumfanyia huyo mtoto mzuri..
Hayo yote ubatili....huwezi linganisha brand yoyote hapa duniani na utamu wa mbususu ya mrembo.
 
Vijana wamekuwa waoga sana... vita vya Kagera hawa wangehama nchi. Hawa mabinti wa Insta dawa yao ni kuwadanganya tu na hela kidogo ya kubadili chupi. Tena hako kabinti ni kukaita kwa ishara tu bila maneno mengi.
Yaani sijui hata wamekuwaje Hawa!
 
Back
Top Bottom