Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Very true , swala la wao kukuachia mzigo ni simple mno, me pia natokea pande za kaskazini

Kuna kipindi ,demu mmoja wa kiiraq alihamia kitaa chetu ,pisi kali hatari ...ila baada ya 2weeks ,wana wote tulikua tushakula afu kisela tuu coz bado alikua mtoto

Note: Wa kwanza kula alikua ni mimi
Ha haaa kwa hiyo we ndio mjanja wao?
 
jamani kama ni uzuri huyu binti amejaaliwa, kuanzia shape, sura mpaka rangi. Tutajenga kweli kwa mtindo huu? Yuko wapi yule aliyesema Tanzania hakuna watoto wazuri?

View attachment 2189632

View attachment 2189636

View attachment 2189637

View attachment 2189638
Huyu lazima ni mu Iraq,wahuni sana hawa, yaani hata mnipee bure bila mahali kwa hawa hapana, sura yake tu anaonekana ni mu Iraq na kuna kibao hapo logo imeandikwa Endabash,hicho ni kijiji cha wa Iraq ktk wilaya ya Karatu kilometer 33 kutoka Karatu kuelekea Mbulu, hao wapende wewe tu na nenda kawaoe, utakuja na ID tofauti hapa unaomba ushauri
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hamna demu hapo, dogo aliniungiaga nikakala one night stand tu tena bila gharama kubwa, nilikalipia tiketi ya movie mlimani city pale ya Tsh 8,000 tu jumlisha lodge buku ten asubuhi nikala kona.
Huyu dogo ana uraibu wa Mlimani City.... hata mimi tulikutania hapohapo. Basi mabazazi wengine wahakikishe wanamwitia hapo Mlimani city.
 
Kimfaacho Mtu kipo machoni pake yeye mwenyewe.

Rafiki mmoja aliniambia ana zaidi ya miaka 19 hajachepuka kwenye ndoa na sababu kubwa ni hadaa na tamaa za macho tu lakini alipokuwa akitongoza warembo haswaa kuliko hata Mke wake hakukuta kitu kwa yaliyomo(ya ndani) kuzidi Mke wake. [emoji849][emoji16]
Ukweli ndio huo hawa warembo sanaa hawajui mambo tena mbaya zaidi unaweza kuta k mnuko sijui magonjwa au kitu gani... Kwakweli ata mimi niliacha hivyo bora mke kuliko hao unakula kwa stress mbaya zaidi hela nyingi zinakutoka
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Hamna demu hapo, dogo aliniungiaga nikakala one night stand tu tena bila gharama kubwa, nilikalipia tiketi ya movie mlimani city pale ya Tsh 8,000 tu jumlisha lodge buku ten asubuhi nikala kona.
Uliila mwaka gani
 
Acha maswali ya kipumbavu jomba.
ah kipumbavu kivipi mwanawane? je kama natakakuwowa kabisa sii lazima nijihakikishie kuwa hana mchezo huo maana hawa warembo wa mujini lolote lawezatokea mzeya
 
Back
Top Bottom