Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Tatizo lako Man unaleta masikhara katikati ya mada nyeti ya kitaifa. Huu uzi umebeba agenda kubwa ya kitaifa haitakiwi mzaha mzaha.
Agenda ipi hiyo mzeyya labda mie sijaipata hiyo ajenda
 
Kuna mademu wanasukuma gari kali kuzidi tako la nyani, hawaongwi hizo ist... badirisha thamani ya IST ( haraka haraka IST inaenda zaidi ya 12 mill kwa mpya ) assume unampa hiyo ili umkaze.. uone kama ina swii, huyo kahongwa nyingi 2 mill na unakula mzigo na hiyo bado nyingi sana, huyo laki tano tu unakula
Laki tano nyingi sana. Bajeti nzima ya huo mchakato wa kishetani haitakiwi kuzidi laki.
 
Ukimfollow onyesha kama unakula bata huko Marina Dubai, mara umepanda ndege daraja la kwanza kwenda kumsalimia Biden, mara unaogelea na kula bata visiwa vya Bora bora Maldives na hizo picha si lazima uende huko mimi nipo tayari kukufanyia photoshop ya nguvu bure huku ukiendelea kula mihogo Buza kwa Mpalange
[emoji23][emoji23]noma sana
 
Hajamzidi baby wangu
IMG_20170529_111715.jpg
 
Vua majuba hayo watu waone yaliyomo. Kutwa kujifunika hata hatujui mzigo upo au laah
Sasa umekosa hoja unaanza viroja.

Unavyomuona mzigo wa mamako akikuanikia unafikiri kila mtu ni kama mama'ko?
 
Huyu mtoto kwa Uzi huu mnanifanya nimtafute sasa ili nifanye yangu...pesa ....pesa....pesa.... ukiwa na pesa Raha sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Kweli umevurugwa mzee unataka chombo, mimi nilipita one night stand tu mzee, then nikala kona, ila alivoanza kua gumzo mtandaoni huko nime m dm mara kibao sana tu, hata haja wahi kujibu shenzi huyoo.

Na dogo mwenyewe alie niungia nae anavimbiwa, kiufupi nime force sana kuidaka namba yake hivi karibuni imeshindikana mtoto kawa masafa na mimi kabwela tu.
Mtoto atakuwa anatbw.a na big boys ndio maana sie makabwela anatumite huko dm bwana....anyways wacha nipige jackpot lazima nimkule na kuweka offer she cant refuse.
 
Back
Top Bottom