Huyu mrembo kwasasa namuelewa sana, Tanzania kuna wanawake wazuri jamani

Kwa hiyo anadanganyika🤣🤣
 
Nilipokuwa huko Chuga nilisikia Vijana flani wakiwaponda eti Ni wazuri Ila Wana ubongo mdogo Sana,je Kuna ukweli wa hili mkuu?
Wairaq wako soft sana yaani kwa huo mzigo ujue ni soft na mwili mzima ni kama wa mtoto ukimgusa. Na wengi washamba waliotokea uko so mwanzoni sio expensive. Sio wajinga kivile nilisoma nao shule ila hawana exposure wala ujanja. Ila sio intelligent
 
Wairaq wako soft sana yaani kwa huo mzigo ujue ni soft na mwili mzima ni kama wa mtoto ukimgusa. Na wengi washamba waliotokea uko so mwanzoni sio expensive. Sio wajinga kivile nilisoma nao shule ila hawana exposure wala ujanja. Ila sio intelligent
Yaah kwa usoft Ni kweli Wana ngozi so amazing na Ni wazuri sana...Mungu atutunzie utalii wetu...Ila kwenye kaushamba wako poa
 
Ni mzuri kweli sijakataa,bado kigoli,yaani kabichi kabisa lakini ndio BMW X5 ,Jamani hebu tuipe heshima hiyo gari....huyo peleka shopping tu avue hizo slippers basi
Dah sasa umekubali kuwa mzuri bado mdogo na kigoli so why hasipatiwe bmw x5 wakati wewe mwanamke mwenzie umekubali uzuri wake
 
Ni mzuri kweli sijakataa,bado kigoli,yaani kabichi kabisa lakini ndio BMW X5 ,Jamani hebu tuipe heshima hiyo gari....huyo peleka shopping tu avue hizo slippers basi
Vijana wamekuwa waoga sana... vita vya Kagera hawa wangehama nchi. Hawa mabinti wa Insta dawa yao ni kuwadanganya tu na hela kidogo ya kubadili chupi. Tena hako kabinti ni kukaita kwa ishara tu bila maneno mengi.
 
Dah sasa umekubali kuwa mzuri bado mdogo na kigoli so why hasipatiwe bmw x5 wakati wewe mwanamke mwenzie umekubali uzuri wake
Narudia Tena Mzabzab,heshimuni brand za watu..nimeshakwambia Cha kumfanyia huyo mtoto mzuri..
 
Reactions: Qwy
Narudia Tena Mzabzab,heshimuni brand za watu..nimeshakwambia Cha kumfanyia huyo mtoto mzuri..
Hayo yote ubatili....huwezi linganisha brand yoyote hapa duniani na utamu wa mbususu ya mrembo.
 
Vijana wamekuwa waoga sana... vita vya Kagera hawa wangehama nchi. Hawa mabinti wa Insta dawa yao ni kuwadanganya tu na hela kidogo ya kubadili chupi. Tena hako kabinti ni kukaita kwa ishara tu bila maneno mengi.
Yaani sijui hata wamekuwaje Hawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…