Huyu mrembo nimfukuze au nisimfukuze?

Huyu mrembo nimfukuze au nisimfukuze?

Kuna age ukiifikia ni kumuomba tu Mungu akusimamie maana vichocheo vya uzinzi vinazalishwa kwa kasi ya ajabu.
Lord have mercy upon us
Na ukiweza kuvishinda hivyo vishawishi, mambo mengi yatasonga mbele.
 
Kuna mlimbwende mmoja humu jukwaani, tulikuwa tunabadilisha nae mawazo ya hapa na pale.

Baada ya kutumia silaa zake za kivita, ameweza kuniingiza majaribuni na hatimaye kumfanya shetani ashinde...​
Hahahaaaaa TEMBO KASHINDWA NA MKONGA
 
Kweli mkuu, ingawa ndoa na zenyewe zina changamoto kama tunazoziona kila siku hapa duniani
Ndoa nyingi zinavunjika kwasabau ya masuala ya pesa.

Mwanaume unatakiwa uwe na vitu hivi

1. Mali.

Itakusaidia kutatua matatizo yako ya pesa kwahiyo wakati unawazia kuwa na familia hakikisha kweli upo tayari kutafuta mali na uzipate kweli.

2. Tunza afya yako

3. Jifunze kuwa kiongozi na mwanamke hatakukimbia.
 
Ndoa nyingi zinavunjika kwasabau ya masuala ya pesa.

Mwanaume unatakiwa uwe na vitu hivi

1. Mali.

Itakusaidia kutatua matatizo yako ya pesa kwahiyo wakati unawazia kuwa na familia hakikisha kweli upo tayari kutafuta mali na uzipate kweli.

2. Tunza afya yako

3. Jifunze kuwa kiongozi na mwanamke hatakukimbia.
Hiyo namba 1 ndio mtihani
 
Hiyo namba 1 ndio mtihani
Ndiyo ni kazi lakini inawezekana.

Tutumie mfano upo kwenye early 20s

1. Jifunze ujuzi fulani ambao utakupatia kazi ili uwe na kipato.

2. Tumia pesa unayoipata kwenye kazi/ajira yako kununu kiwanja/viwanja halafu jenga boma lako. Hadi hapa umemaliza mtihani wa kwanza, upo na kwako hata kama ni chumba kimoja.

3. Ukifanikisha namba 2 maana yake wewe ni komando sasa nini kingine kitakushinda? Hauhitaji kuwa mali kuzidi watu wote, la hasha, uwe tu unamiliki assets lakini pia upo na kazi/ajira inayokupatia pesa ya msosi hapo home lakini pia yakulipia school fees za watoto kama ukiwa nao.
 
Ndiyo ni kazi lakini inawezekana.

Tutumie mfano upo kwenye early 20s

1. Jifunze ujuzi fulani ambao utakupatia kazi ili uwe na kipato.

2. Tumia pesa unayoipata kwenye kazi/ajira yako kununu kiwanja/viwanja halafu jenga boma lako. Hadi hapa umemaliza mtihani wa kwanza, upo na kwako hata kama ni chumba kimoja.

3. Ukifanikisha namba 2 maana yake wewe ni komando sasa nini kingine kitakushinda? Hauhitaji kuwa mali kuzidi watu wote, la hasha, uwe tu unamiliki assets lakini pia upo na kazi/ajira inayokupatia pesa ya msosi hapo home lakini pia yakulipia school fees za watoto kama ukiwa nao.
Muhimu ni kuwa na malengo tu, na kuyafanyia kazi
 
Back
Top Bottom