Huyu mrembo nimfukuze au nisimfukuze?

Huyu mrembo nimfukuze au nisimfukuze?

Kuna mlimbwende mmoja humu jukwaani, tulikuwa tunabadilisha nae mawazo ya hapa na pale.

Baada ya kutumia silaha zake za kivita, ameweza kuniingiza majaribuni na hatimaye kumfanya shetani ashinde.

Sasa mlimbwende ameniibukia hapa nyumbani, kusema kweli ni bonge la jimama, na nikimtizama machoni nazidi kushawishika zaidi; natamani muda uende ili sarakasi zianze.

Nimemwambia apike chakula ili tuweze kula anakataa, anasema sio kazi iliyomleta; anataka niagize mdudu kilo 3, ndizi za kukaanga na pombe kali.

Kutokana na jua la utosi kuwa kali, naona ananiongezea gharama tu; sasa mimi nataka nimfukuze.

Wakuu mnasemaje.

Mfukuze na dudu washa
 
Moyo wako unasemaje juu ya uamzi unaotaka kuchukua maana moyo ndo msema kweli sisi ushauri hautakutosha mkuu
 
Hakuna kuoa full stop acha kupenda wanawake over mm sioiiiii wala sitak penda mtoto wa mtu wataniua hawa kuku
 
Kwaiyo j forum sku iz imekua tinder inakutanisha watu
Wacha ubahiri agiza mdudu na pombe kali mfurahie maisha dunian tunapita
 
Kuna mlimbwende mmoja humu jukwaani, tulikuwa tunabadilisha nae mawazo ya hapa na pale.

Baada ya kutumia silaha zake za kivita, ameweza kuniingiza majaribuni na hatimaye kumfanya shetani ashinde.

Sasa mlimbwende ameniibukia hapa nyumbani, kusema kweli ni bonge la jimama, na nikimtizama machoni nazidi kushawishika zaidi; natamani muda uende ili sarakasi zianze.

Nimemwambia apike chakula ili tuweze kula anakataa, anasema sio kazi iliyomleta; anataka niagize mdudu kilo 3, ndizi za kukaanga na pombe kali.

Kutokana na jua la utosi kuwa kali, naona ananiongezea gharama tu; sasa mimi nataka nimfukuze.

Wakuu mnasemaje.
Acha dharau kwa mboga tukufu kuita mdudu, huyo ni Kaka yake kuku aka mbuzi wa Vatican.
 
JF Mada za Ngono ngono.
Ukisema usikilize mziki ni matusi tu.
Ukifungulia FM Redio zetu kutwa nzima unaskia Yanga/Simba.
Magazeti ni Uchawa wa 100%.
Ukisema Ukae kupiga na wana stori mada zoote ni kujadili warembo na machaka ya malaya.
Mods jaribuni kukaa na kutafakari hatima ya JF
 
JF Mada za Ngono ngono.
Ukisema usikilize mziki ni matusi tu.
Ukifungulia FM Redio zetu kutwa nzima unaskia Yanga/Simba.
Magazeti ni Uchawa wa 100%.
Ukisema Ukae kupiga na wana stori mada zoote ni kujadili warembo na machaka ya malaya.
Mods jaribuni kukaa na kutafakari hatima ya JF
Ni kweli ulimwengu umebadilika, na ulimwengu unaendeshwa kibiashara (mauzo), kusimamia jukwaa hili kunahitajika pesa katika kuwawezesha timu nzima iweze kufanya kazi kwa ufanisi na weledi, kulipia mishahara, gharama za maji, umeme, mafuta, na ulipaji mbali mbali wa vibali n.k

Ni vizuri tuje na wazo, sisi washiriki tuliojisajili humu, tunawasaidiaje au tunawachangia kiasi gani katika kutimiza hayo.

Unapendelea tuanze kutoa kiasi gani?​
 
Back
Top Bottom