Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?

Huyu mtangazaji huwa namsikiliza sana habari zake kumbe shoga?

Huwa najiuliza madhara ya hawa watu akina Quest ukilinganisha na watu kama Chenge, Ngereja, Tibaijuka, labda ushoga unaambukizwa? Binafsi huwa naamini hivi: "uhuru wa mwenzangu unapoishia ndipo uhuru wangu unapoanzia, hivo kuna mstari mkubwa unaotenganisha maisha aliyochagua kuishi Quest na maisha niliyochagua kuishi mimi" sijawahi kuumizwa life style ya mtu yeyote hata wife!
Kuyatambua haya majitu ni dalili kuu ya ww kuungana nao siku za mbeleni, mark the date
 
Huwa najiuliza madhara ya hawa watu akina Quest ukilinganisha na watu kama Chenge, Ngereja, Tibaijuka, labda ushoga unaambukizwa? Binafsi huwa naamini hivi: "uhuru wa mwenzangu unapoishia ndipo uhuru wangu unapoanzia, hivo kuna mstari mkubwa unaotenganisha maisha aliyochagua kuishi Quest na maisha niliyochagua kuishi mimi" sijawahi kuumizwa life style ya mtu yeyote hata wife!
Usipomsema Prof Tibaijuka huwezi kufanya mambo yako. Kutwa, kucha kumsema Mh Mbunge Prof Tibaijuka. Amejieleza sana bado ulidhiki.
Chuki hazisaidii. Unajilisha upepo.
 
Kuyatambua haya majitu ni dalili kuu ya ww kuungana nao siku za mbeleni, mark the date
Madhara ya mimi kuwatambua au kutowatambua japo wewe "uliye na haki" umewahukumu na kuwaita "haya majitu" ni yapi mkuu?
 
Usipomsema Prof Tibaijuka huwezi kufanya mambo yako. Kutwa, kucha kumsema Mh Mbunge Prof Tibaijuka. Amejieleza sana bado ulidhiki.
Chuki hazisaidii. Unajilisha upepo.
Sina chuki na huyo Mheshimiwa mkuu, hapa nilitaka tu kuonyesha mfano halisi wa vitu vyenye madhara kwetu: Ufisadi, omugonzibwa ma Anna alipokea pesa kidogo ya mboga, umeme ukapanda bei, huku kijijini nilipo huduma ya umeme ikashindwa kutufikia kwasababu ya mzigo wa madeni kwa TANESCO, wagonjwa waliokuwa ICU na vichanga wakafa kwasababu ya mgao wa umeme.....nashindwa kuendelea kuandika maana machozi yananitoka!

Hilo li tisheti na mipira mtakaopewa mwakani vitunze ni hadi 2025.
 
walishangazwa saana kufaahamu kuwa yupo kwenye mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja.
Sikia wewe, hii ni silence agenda inayofanya kazi kwa siri sana. Yaani wanachukua mtu maarufu (aliye tayari) na kumlisha uharisia wa uongo.

TARGET IS YOU!, na kufikia hatua hiyo wengi waone hicho kitu kumbe ni cha kawaida kama mtu kama Tyson, Richard au sir Elton mzee wa 'Candle in the Wind' nk.
 
Sikia wewe, hii ni silence agenda inayofanya kazi kwa siri sana. Yaani wanachukua mtu maarufu (aliye tayari) na kumlisha uharisia wa uongo.

TARGET IS YOU!, na kufikia hatua hiyo wengi waone hicho kitu kumbe ni cha kawaida kama mtu kama Tyson, Richard au sir Elton mzee wa 'Candle in the Wind' nk.
Hakuna mtu anayetaka kukushawishi wewe uwe shoga. Acha porojo.

Mnapenda sana kujipa umuhimu na kujikweza.
 
Hakuna mtu anayetaka kukushawishi wewe uwe shoga. Acha porojo.

Mnapenda sana kujipa umuhimu na kujikweza.
Upo GIZANI na hujui kitu wewe dogo ndiyo maana unatukana kwa kukosa 🐷pole.
 
[SUB]
211428d1267230b4fca1f9e3083a246e.jpg
[/SUB]
[SUB]daud na saul[/SUB]
 
Back
Top Bottom