Huyu Mtangazaji Scola Kisanga wa Kipindi cha DADAZ cha EAtv ana Wanaume / Mabwana wangapi hadi hivi sasa?

Sidhani kama anao wengi, kwanza muangalie alivyo?! Nafikiri anatumia mifano ya watu au stories ili kunogesha kipindi, ila toka nimeanza kumsikia kwenye EAradio, nimem-sum-up kama mdada aliyetoka bush, kaushamba bado kapo, mbishi wakati mambo hajuwi (hasa anapokutana na na wale wahenga kina Diallo & David), mjuaji wakati hajuwi kitu, kweli kaenda shule, ila ya kutoa tongo tongo, simsemi vibaya ila hana mvuto kabisa..
 
KUM***EEEEEH kipindi cha kisenge sana hicho na wanaofuatilia kama ni (me) basi watakuwa "mapunga" ,,,,namaanisha wapungwa upepo.
Nawasilisha
 

[emoji2][emoji2]


Hapa nadhani, "A", "B", "C" yote ni majibu,
hivo kwa hii case jibu sahihi zaidi ni "ALL THE ABOVE."
I mean itakuwa kashapitia ktk sexual relationship na wanaume wengi, ila wanaweza wasifke hyo idadi ya 62 au pia anaweza kuwa kaivuka hyo 62 vle vle, Au inawezekana ni references tu ili kunogesha kipindi.

 
Sure...ila kinakera nahisi ni namna ya uendeshaji wake siwapendi wale wadada wote ..mwanne namkubal jumapili Kwa kipind ake ,, yan vidada vina midomo vile ....sijawahi date dem mwenye mambo ya zile mambo za eee shoga nikupe ubuyu NO
 
Wakati wa Mussa wana wa israeli walitengeneza nyoka wa shaba.. wamuabudu.

Kile unachokiinua ndicho roho zenu zitajazwa nacho. Sex perversion na immorality ndio nyoka wa shaba wa kizazi hiki na redio na televisheni ndio mnara tumemtundika huko nyoka huyu.

Be careful with TV especially for young minds.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…