Huyu mtoto aliyeandika post hii aambiwe akae asome kwa bidii

Huyu mtoto aliyeandika post hii aambiwe akae asome kwa bidii

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Hawa watoto wanaoendesha ukurasa wa UDOMFAME hebu waambieni wakae wasome. Wanakuja kukemea JF kuwa iache kuzungumzia kunguni, wakati huo uongozi wao unasema suala la kunguni ni suala wote kwa hiyo tushirikiane kupambana nao Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi

1697612264065.png


Mbali na kuweka post hiyo baadhi ya vijana wenzake wameonesha tatizo hilo lipo.

photo_2023-10-18_10-29-57.jpg


Aidha suala la kunguni vyuo kadhaa vimesema lipo na ndio sababu ya kunyunyiza dawa kabla ya wanafunzi kufungua chuo.

Mwambieni huyu mtoto asome. Uandishi wenyewe mbovu, all caps. Ajifunze kuandika kwanza.
 
Hivi kwani chuo ndio kinaweka kunguni kwenye hostels au ni wanafunzi wachafu wasiozingatia usafi ndio chanzo cha kunguni?

Yaani ni aibu kwa wanafunzi wa chuo kikuu kuanza kulia lia kuwa mna kunguni sehemu za mnazolala wenyewe...
 
Hao madenti wanaosema hakuna kunguni na tuwaache na chuo chao.

Nasema hicho chuo sio mali yao binafsi na waume/wake zao wawe na heshima.

Ndio maana baadhi ya madenti wa UDOM wakimaliza akili zao zinakuwa na shida kutokana na kunyonywa damu zao na chawa/kunguni.
 
UDOM ndiyo nini?Ebu fanyieni Fumigation hayo Mabweni yenu.Kama Kunguni wamejaa kibao huko Ufaransa na Uingereza na watu wanaishi.
 
Sasa hata kunguni tu mnataka mpaka uongozi wa chuo uingilie kati!! Dawa ya kuwakomesha hao wadudu inauzwa 6000 tu. Vijana acheni kudeka.
Mkuu wananfunzi hawana hela, angalia jamaa zako kipindi mnasoma na hali zao baada ya kuja mtaani utajua kabisa maisha ya chuo ni magumu. Ukizungumzia 6,000 usizungumzie kama mtu mwenye michongo yako, angalia kama mwanafunzi wa chuo
 
Hawa watoto wanaoendesha ukurasa wa UDOMFAME hebu waambieni wakae wasome. Wanakuja kukemea JF kuwa iache kuzungumzia kunguni, wakati huo uongozi wao unasema suala la kunguni ni suala wote kwa hiyo tushirikiane kupambana nao Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi

View attachment 2785123

Mbali na kuweka post hiyo baadhi ya vijana wenzake wameonesha tatizo hilo lipo.

View attachment 2785141

Aidha suala la kunguni vyuo kadhaa vimesema lipo na ndio sababu ya kunyunyiza dawa kabla ya wanafunzi kufungua chuo.

Mwambieni huyu mtoto asome. Uandishi wenyewe mbovu, all caps. Ajifunze kuandika kwanza.
Hapa Dodoma kuna kunguni balaa hasa sehemu zinazoitwa kitopeni usiombe uende msibani ukalala huko !umewakaribisha home.
 
Hawa watoto wanaoendesha ukurasa wa UDOMFAME hebu waambieni wakae wasome. Wanakuja kukemea JF kuwa iache kuzungumzia kunguni, wakati huo uongozi wao unasema suala la kunguni ni suala wote kwa hiyo tushirikiane kupambana nao Uongozi wa UDOM wajibu madai ya kuwepo kunguni kwenye mabweni ya Wanafunzi

View attachment 2785123

Mbali na kuweka post hiyo baadhi ya vijana wenzake wameonesha tatizo hilo lipo.

View attachment 2785141

Aidha suala la kunguni vyuo kadhaa vimesema lipo na ndio sababu ya kunyunyiza dawa kabla ya wanafunzi kufungua chuo.

Mwambieni huyu mtoto asome. Uandishi wenyewe mbovu, all caps. Ajifunze kuandika kwanza.
Huyo dogo yeye ndiye anayetakiwa kufuta uzi wake wa kukanusha kwakuwa ndio anapotosha na kuficha ukweli! JF huwa haikurupuki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo dogo yeye ndiye anayetakiwa kufuta uzi wake wa kukanusha kwakuwa ndio anapotosha na kuficha ukweli! JF huwa haikurupuki

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuwepo kweli,mimi naishi hapa Dodoma nilikuwa siwafahamu kunguni!wenyeji wa huku unawakuta wanaanika magoro,ukiwauliza wanakwambia kunguni.Hata kwangu wapo kwa mbaali!!!
 
UWEPO WA KUNGUNI VYOUNI NI MATOKEA YA SERA BORA ZA ELIMU MAANA ACCESSIBILITY IMMEONGEZEKA KUFIKIA JAMII ZA HALI DUNI KABISA.
 
Back
Top Bottom