Huyu mtoto aliyeandika post hii aambiwe akae asome kwa bidii

Huyu mtoto aliyeandika post hii aambiwe akae asome kwa bidii

Tatizo sio Kunguni tatizo ni overpayments zao.

UDOM waharakishe kuwalipa wahitimu overpayments zao.

Vijana wanahasira na pesa zao! Wanaweza kufichua ujinga mwingine, msipokuwa haraka.
 
Sasa hata kunguni tu mnataka mpaka uongozi wa chuo uingilie kati!! Dawa ya kuwakomesha hao wadudu inauzwa 6000 tu. Vijana acheni kudeka.
Mkuu huijui habari ya hao wadudu sehem walipo enea huwez kuwaua kwa sumu ya elf 6 nakumbuka kipind nipo shule kule mwanza chupa moj ya dawa ikununuliwa 30k na zinapulizwa 4 kwa mara moja walirudia wiki 4 ndy tukalala kwa aman
 
Mkuu huijui habari ya hao wadudu sehem walipo enea huwez kuwaua kwa sumu ya elf 6 nakumbuka kipind nipo shule kule mwanza chupa moj ya dawa ikununuliwa 30k na zinapulizwa 4 kwa mara moja walirudia wiki 4 ndy tukalala kwa aman
Hawajui kunguni wana nguvu zaidi ya mapenzi.
 
Hivi mpaka Leo bado unaamini KUNGUNI ni 7bu ya UCHAFU wa mtu au MAZINGIRA
Wanatokea tuu,sababu ya joto na kueadhibiti ni ngumu sana kwani hujificha kwenye nyufa,madirisha,kabatini,masofa,godoro tena kama unakitanda cha mbao wafwa!Cha chuma ukitoa nje kwenye jua wanachomoka balaa,na anauwezo kushinda njaa hata mwezi ukitokea tuu halali yake!
 
Nunueni ile dawa ngao inalowekwa na net kuzibiti malaria

Ukishafua ile net mwagia kitandani na kwenye godoro humo ,shughuli sio ya Dodoma tena
 
Udomfame mmeyakanyaka bandugu.

JAMII FORUMS NI LEVEL NYINGINE.
HUKU HABARI ZOTE ZIMECHUJWA NA KUCHUJWA NDIO ZINAPOSTIWA.
KUNGUNI WAPO NA WALA SI JAMBO LA KUFICHA.
 
Watakuwepo kweli,mimi naishi hapa Dodoma nilikuwa siwafahamu kunguni!wenyeji wa huku unawakuta wanaanika magoro,ukiwauliza wanakwambia kunguni.Hata kwangu wapo kwa mbaali!!!
Hahaaha ati kwa mbaaalii kwa hiyo unawaangalia kupititia darubini?
Hao wanga wanauwezo wakushinda njaa hata mwezi wakiwa wanakusubiri.
 
Hahaaha ati kwa mbaaalii kwa hiyo unawaangalia kupititia darubini?
Hao wanga wanauwezo wakushinda njaa hata mwezi wakiwa wanakusubiri.
Wana mwaka mkuu,nimetumia kila dawa,wanapotea miezi kadhaa wanaibuka!yaani nina bajeti ya kunguni,mgongo umechakaa kwa kungatwaa.Yaani nikitaka kwenda church nanyoosha nguo kwa kupiga pasi sikai wala kuweka popote navaa nduki ,maana wanaweza kukuaibisha mbele za watu.
 
Udomfame mmeyakanyaka bandugu.

JAMII FORUMS NI LEVEL NYINGINE.
HUKU HABARI ZOTE ZIMECHUJWA NA KUCHUJWA NDIO ZINAPOSTIWA.
KUNGUNI WAPO NA WALA SI JAMBO LA KUFICHA.
Wapo kwani ni vibaya kusema ukweli wapo?
 
Kunguni na joto labda usome vyuo na shule za bweni sehemu za baridi ,hapo Udom ni kwikwi yaani hata ukiangalia hostel baadhi sio standard magodoro kama ulimi yaani hata shule yetu ya advance mabweni yake yana afadhali na chumba kikubwa kuna mwanga wa kutosha.

Udom kunguru wamejaa tele na hakuna habari za kupakazia ni suala la ukweli na uwazi yaani hovyo kabisa .

Wanafunzi wengi wachafu yaani kiasili yaani hata magetto yao chuoni ,unaweza kushangaa mpaka vyoo wanaharibu yaani sijui binadamu wanakuwaje !?
 
Kunguni na joto labda usome vyuo na shule za bweni sehemu za baridi ,hapo Udom ni kwikwi yaani hata ukiangalia hostel baadhi sio standard magodoro kama ulimi yaani hata shule yetu ya advance mabweni yake yana afadhali na chumba kikubwa kuna mwanga wa kutosha.

Udom kunguru wamejaa tele na hakuna habari za kupakazia ni suala la ukweli na uwazi yaani hovyo kabisa .

Wanafunzi wengi wachafu yaani kiasili yaani hata magetto yao chuoni ,unaweza kushangaa mpaka vyoo wanaharibu yaani sijui binadamu wanakuwaje !?
Uko sawa mkuu
 
Wana mwaka mkuu,nimetumia kila dawa,wanapotea miezi kadhaa wanaibuka!yaani nina bajeti ya kunguni,mgongo umechakaa kwa kungatwaa.Yaani nikitaka kwenda church nanyoosha nguo kwa kupiga pasi sikai wala kuweka popote navaa nduki ,maana wanaweza kukuaibisha mbele za watu.
Nikisema ati siwajui hao wadudu nitakuwa mnafki wa kutupwa,
Unaweza kulala wakaleta mashambulizi ila ukisema ngoja nikawashe taa humuoni hata mmoja.
Mtu anayesema ati kunguni ni uchafu wewe muache azeeke na uzezeta wake.
 
Back
Top Bottom