Huyu mtoto niliyemkataa ananikosesha raha

Huyu mtoto niliyemkataa ananikosesha raha

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.

Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake

Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
 
Wanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee
Mchukuwe tu mwanao, mke wako tayari tumesha mwambia,kasema hakuna shida,sema anasubiri kauli yako wwe muhusika mkuu uthibitishe tu kwake!!
 
Wanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee
Unaogopa jukumu la kulea mtoto, unamuogopa mkeo, unamuogopa mzazi mwenzako, unaogopa vyote, au unaogopa nini?

Mwanamme hatakiwi kuogopa ogopa.

Mwambie mkeo una mtoto uwe huru kumlea.
 
Back
Top Bottom