Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 372
- 755
Khaa
We jamaa unajua Ku prolong mambo.
Si usolve na mkeo mlee mtoto?
We jamaa unajua Ku prolong mambo.
Si usolve na mkeo mlee mtoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kwenye ndoa nataka nisolve taratibu hili tatizoUnaogopa jukumu la kulea mtoto, unamuogopa mkeo, unamuogopa mzazi mwenzako, unaogopa vyote, au unaogopa nini?
Mwanamme hatakiwi kuogopa ogopa.
Mwambie mkeo una mtoto uwe huru kumlea.
Sawa dadaKhaa
We jamaa unajua Ku prolong mambo.
Si usolve na mkeo mlee mtoto?
Niletee mtoto huyo, nitamlea bila kuathiri ubaba wako kwake.Wanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee
Nimekosa jibu ila watoto wa nje ndio wanaotulea Wazee, wale wa Kwenye ndoa ndio wanaoimba, Nani kama Mama. The choice is yoursWanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee
Njoo pmNiletee mtoto huyo, nitamlea bila kuathiri ubaba wako kwake.
Sawa mkuuNimekosa jibu ila watoto wa nje ndio wanaotulea Wazee, wale wa Kwenye ndoa ndio wanaoimba, Nani kama Mama. The choice is yours
Wewe ndo uje pm.Njoo pm
Basi ndugu ushaonesha matatizo mtoto asije akateseka nawajua watu kama nyieWewe ndo uje pm.
Njia za kutatua tatizo ni pamoja na kukubali tatizo, kuomba msamaha kwa uliyemkosea.Nipo kwenye ndoa nataka nisolve taratibu hili tatizo
Ok, basically mtoto anateseka si umemkana?. Hopeless kabisa. Maisha yako ni matokeo ya mafanikio na makosa yako. kubali kuwajibika.Basi ndugu ushaonesha matatizo mtoto asije akateseka nawajua watu kama nyie
Endelea na maisha Yako mzee mbona unalazimisha MamboOk, basically mtoto anateseka si umemkana?. Hopeless kabisa. Maisha yako ni matokeo ya mafanikio na makosa yako. kubali kuwajibika.
Be responsibleeeeeeeee!!!!!.
Uzi mmoja unatoshaWanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.
Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake
Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Jamaa Punga sana aiseeHiv baba yako angekuwa anachart Facebook kuhusu kukutaaa wew mbele za watu ungejisikiaje mkuuu....
Muheshimu uyo dogo...jombaaa
Sawa mamaWewe ni fala
USSR
Sawa mamaJamaa Punga sana aisee
Nimelazimishawapi?. Si umeleta jukwaani hapa mwenyewe?Endelea na maisha Yako mzee mbona unalazimisha Mambo
Endelea na maisha Yako Sina shida na maoni yakoNimelazimishawapi?. Si umeleta jukwaani hapa mwenyewe?
Binadamu akizaa anatakiwa kuwajibika. Kama ni kuzaa tu hata mgomba unazaa, jitofautishe nao.