Huyu mtoto niliyemkataa ananikosesha raha

Huyu mtoto niliyemkataa ananikosesha raha

Tatizo lolote ni fursa mkuu don't play with ur problem but embrace it

Mtoto ni wako na mke ni wako

Mke wako na mtoto wako nani anastahili kula jasho lako effectively ?

Tatizo linamalizwa kwa kulikubali na sio kulikimbia
 
fanya juu chini mchukue mtoto kiongozi, kama imeshindikana kumchukua basi hakikisha unahudumia hata kama mama yake atakua mkorofi kiasi gani we hangaika na mtoto wako tuu.
 
fanya juu chini mchukue mtoto kiongozi, kama imeshindikana kumchukua basi hakikisha unahudumia hata kama mama yake atakua mkorofi kiasi gani we hangaika na mtoto wako tuu.
Sawa mkuu nimekuelewa
 
Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.

Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake

Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Nenda kaombe rehema kwa Mungu wako, mtoto hakataliwi. Tena kafute roho za kukataliwa juu ya mwanao,utamfanya awe mtu wa kukataliwa maisha yake yote.
Mwanaume unaanzaje kukataa mtoto?
Hata kama siyo damu yako wewe lea,Mungu atakulipa zaidi ya yale ulotenda
 
Unaogopa jukumu la kulea mtoto, unamuogopa mkeo, unamuogopa mzazi mwenzako, unaogopa vyote, au unaogopa nini?

Mwanamme hatakiwi kuogopa ogopa.

Mwambie mkeo una mtoto uwe huru kumlea.
It requires kind of boldness but the best option so far. The truth will set him free indeed.
 
Unamkataa mtoto ? Km ulilala na huyo mwanamke we amini hiyo ni damu yako ,hivyo mlee na umsaidie huyo mtoto , maana kuna siku utamtafuta mwanao kwa uhitaji wako na hutompata.
 
Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.

Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake

Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Tafuta muafaka kabla Mambo hayajafikia huko la sivyo huyo mtoto Hana hatia, tumia wazee wamtambue au kapime DNA
 
Mababa wa kisasa wanakomaa na watoto wao wewe unaogopa, yaani unaogopa bao lako?
 
Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.

Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake

Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Kwa hiyo unataka kutueleza kwamba haujawahi kuamkiwa kabla ya hapo?
 
Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.

Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake

Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
kwan mzungu wako wa denmark anasemaje! muulze labda atamkubali kama mwanae pia au huoni fursa ya mtoto kuwa na baba wawili
 
Back
Top Bottom