Sawa. Ipo option ya kuni ignore waweza itumia pia.Endelea na maisha Yako Sina shida na maoni yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Ipo option ya kuni ignore waweza itumia pia.Endelea na maisha Yako Sina shida na maoni yako
Naunga mkono hojaLea Mtoto
Endelea na maisha Yako mzeeSawa. Ipo option ya kuni ignore waweza itumia pia.
Sawa mkuu nimekuelewafanya juu chini mchukue mtoto kiongozi, kama imeshindikana kumchukua basi hakikisha unahudumia hata kama mama yake atakua mkorofi kiasi gani we hangaika na mtoto wako tuu.
Nenda kaombe rehema kwa Mungu wako, mtoto hakataliwi. Tena kafute roho za kukataliwa juu ya mwanao,utamfanya awe mtu wa kukataliwa maisha yake yote.Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.
Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake
Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Yeah mwakani nyingine tena 🤰
It requires kind of boldness but the best option so far. The truth will set him free indeed.Unaogopa jukumu la kulea mtoto, unamuogopa mkeo, unamuogopa mzazi mwenzako, unaogopa vyote, au unaogopa nini?
Mwanamme hatakiwi kuogopa ogopa.
Mwambie mkeo una mtoto uwe huru kumlea.
Tafuta muafaka kabla Mambo hayajafikia huko la sivyo huyo mtoto Hana hatia, tumia wazee wamtambue au kapime DNAWanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.
Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake
Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Kwa hiyo unataka kutueleza kwamba haujawahi kuamkiwa kabla ya hapo?Wanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.
Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake
Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
kwan mzungu wako wa denmark anasemaje! muulze labda atamkubali kama mwanae pia au huoni fursa ya mtoto kuwa na baba wawiliWanajamvi jana nilileta uzi humu kuna mtoto nilimkataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaa niliopo yeye na mama yake, sasa muda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo.
Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikuwa najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia mimi ni baba yake
Sijui ikoje hii kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee.
Kabisa mkuu.It requires kind of boldness but the best option so far. The truth will set him free indeed.
ChaiChai
Ya maziwaChai