Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Duuh sawaHiv baba yako angekuwa anachart Facebook kuhusu kukutaaa wew mbele za watu ungejisikiaje mkuuu....
Muheshimu uyo dogo...jombaaa
SawaLea Mtoto
Sawa mkuuWewe mambo ya raha yanakuhusu nini?
Natania bhana!
Jibu ni - Acha ujinga na Beba majukumu yako kama mzaz.
PambanaZaidi/CottonandMore
Mchukuwe tu mwanao, mke wako tayari tumesha mwambia,kasema hakuna shida,sema anasubiri kauli yako wwe muhusika mkuu uthibitishe tu kwake!!Wanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee
SawaMchukuwe tu mwanao, mke wako tayari tumesha mwambia,kasema hakuna shida,sema anasubiri kauli yako wwe muhusika mkuu uthibitishe tu kwake!!
Daah sawa dadaSi umkubali huyo mtoto, yeye ana kosa gani?
Tamaa zenu za ngono kwanini zimuadhibu yeye??
Huyo mkeo atanuna kwa muda finally atazoea maisha yataendelea.!!
DuuhBro mbona inaonekana una matatizo ya akili. Kama hutaki kumpokea na kumtunza mtoto wako basi mheshimu.
SawaYaani pumba zote unazoandikaga humu na wewe unaitwa baba?
Mkubali mtoto ni baraka, kuna watu wanatamani kupata wamekosa huo uwezo.!!Daah sawa dada
Unaogopa jukumu la kulea mtoto, unamuogopa mkeo, unamuogopa mzazi mwenzako, unaogopa vyote, au unaogopa nini?Wanajamvi Jana nilileta Uzi humu Kuna mtoto nilimKataa miaka minne iliyopita na wamerudi mtaaa niliopo yeye na mama yake Sasa mda huu kaja dukani tena aisee nashangaa anafika anasema baba shikamoo. Sijaelewa hii situation ni kwamba mama yake kashamwambia Mimi ndio baba yake kama ndio hivyo huyu mwanamke naona kaja kishari kunitafutia matatizo aisee maana nilikua najifikiria nifanyaje nashangaa mtoto ananiamkia na sijawahi kumuambia Mimi ni baba Yako sijui ikoje hii Kwa akili ya mama yake naogopa anaweza siku akaja kumbwaga kwangu Mimi nikiwa sipo na wife akastukia hii ishu aisee