masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hawa jamaa waliomrekodi huyu mtoto ingekuwa wanalipwa, wamepiga bingo.
Mtoto anaongea kwa lafidhi yake nafikiri kibena au kihehe kwafudhi ya kufurahisha na kuchekesha.
Na hapo alipo mtoto haigizi.
Na wanaomuigiza mtandaoni sasa wamekuwa wengi sana.
Nimempenda huyu mtoto