Uchaguzi 2020 Huyu mtu anaweza kuchukua hii nchi au anaweza kusababisha mambo yatakayosababisha mageuzi kutokea katika hii nchi

Uchaguzi 2020 Huyu mtu anaweza kuchukua hii nchi au anaweza kusababisha mambo yatakayosababisha mageuzi kutokea katika hii nchi

Huyu ndugu anaweza kuchukua nchi moja kwa moja kupitia sanduku la kura tukiwa na uchaguzi ulio huru na wa haki, lakini pia anaweza kusababisha mambo yatayosababisha mageuzi yatokee katika nchi yetu.

Wanasiasa wa aina hii husababisha katiba na sheria za nchi katika mataifa mbalimbali duniani kubadilishwa ili kua-accomodate wapinzani ndani ya serikali kutokana na kuwa na uungwaji mokono mkubwa wa wananchi na zaidi kuwa na misimamo isiyoyumba ambayo hulazimisha watawla kufanya nao mazungumzo ili mambo yaende kama ilivyotokea huko Zanzibar kwa Maalim Seif kupewa wadhifa wa kuwa makamu wa kwanza wa Raisi mwaka 2015 kama sikosei.

Baada ya Zanzibar,sasa inaweza kuwa ni zamu ya Bara kufanya mabadiliko ya katiba kuwezesha wapinzani kuwa ni sehemu ya serikali ingawa si jambo rahisi kutokea na hata likitoea, basi huwa na mchakato mrefu lakini mwisho wa siku mambo hutimia ingawa inluence ya taasisi za kimataifa na mataifa makubwa huwa pia ni sehemu ya kufanikisha mambo haya hasa pale upinzani unapokuwa na nguvu na kusimama imara.

Lissu akijiridhisha kupata kura nyingi za kumuwezesha kushinda,basi lolote kati ya hayo linaweza kutokea maana najua hatotaka kurudi nyuma zaidi ya kupigania haki yake na hapo ndio inaweza kuwa mwanzo wa haya niyasemayo kutimia bila kujali itachukua muda gani au kutakuwa na ugumu kiasi gani.

Matamshi yake ya leo kuhusu yeye kupigwa risasi na aliowatuhumu/aliemtuhumu,ni ushahidi wa jinsi gani alivyojasiri wa kusema au kutenda mambo yasiyotegemewa na wengi kwani leo kaenda mbali zaidi katika kutoa tuhuma za waliompiga risasi.

Lissu nchi anachukua bila chenga ondoa neno anaweza pamoja na kukubalika ujasili uwezo wa kujenga hoja alionao lissu ccm wamemrahisishia kazi kwa sera zao mbaya nisawa na mtu kuwasha moto kwenye majani makavu Watanzania tulikua nahamu ya kupata mgombea uraisi mwenye sifa kama za Lissu Tangu tupate uhuru ni yeye ondoa shaka .
 
Tutawapigia kura kama kawaida. Kwasababu, tunajua fedha za kuongeza mishahara ndo zimejenga zahanati na vituo vya afya ambavyo wazee wetu, wake zetu na watoto wetu ndo wanapokwenda kupewa huduma kila wanapougua.

Tunajua pia fedha za kuongezea mishahara ndo zinatumika kugharamia Elimu Bure ili watoto wetu waweze kupata elimu bila vikwazo.

Tunajua pia fedha za kuongeza mishahara ndo zimejenga Miundombinu ya barabara katika kila kona ya nchi hii ambazo hata Tundu Lissu anazitumia sasa hivi kwenda kuomba wadhamini na kufanya mikutano ya hadhara.

Tunajua pia fedha za kuongeza mishahara ndo zimenunua ndege, kujenga SGR, Bwawa la Umeme, Flyover ambavyo hivi vyote vitakuza uchumi na kutuwezesha kuongezewa mishahara mara dufu huko baadae kuliko tungeongezewa sasa hivi.

Kwa maana hiyo, tumekubali nyongeza ya mishahara yetu itumike kuwanufaisha watanzania wote na siyo sisi kundi la watu wachache. Tunakataa UBINAFSI tunatukuza UZALENDO kwa nchi yetu.
Usisahau pia kuwa ndo zimejenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwa magufuli Chato, zimetumika kufungua hifadhi na Lodges kijijini kwa magufuli Chato na Pia zimetumika kuwanunua wabunge na madiwani wa upinzani
 
Majimbo zaidi ya kumi ambayo CHADEMA imeishashinda kabla ya Uchaguzi:
1. Hai
2. Arusha
3. Moshi
4. Mbeya mjini
5. Singida Kaskazini
6. Singida Mashariki
7. Tunduma
8. Iringa Mjini
9. Kawe
10. Ubungo
11.
 
Ndo mnavyodanganyana kuwa mtaji wa siasa ni watu na sio vitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], watanzania wameshachoka na maneno waliyokuwa wanapewa zaman wanataka vitu vinavyoonekana na kwa vitendo bro.
Nani kasema wamechoka??? Sema wanewachoka nyie kwa kupeleka fedha zao kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini Chato!
 
Huyu ndugu anaweza kuchukua nchi moja kwa moja kupitia sanduku la kura tukiwa na uchaguzi ulio huru na wa haki, lakini pia anaweza kusababisha mambo yatayosababisha mageuzi yatokee katika nchi yetu.

Wanasiasa wa aina hii husababisha katiba na sheria za nchi katika mataifa mbalimbali duniani kubadilishwa ili kua-accomodate wapinzani ndani ya serikali kutokana na kuwa na uungwaji mokono mkubwa wa wananchi na zaidi kuwa na misimamo isiyoyumba ambayo hulazimisha watawla kufanya nao mazungumzo ili mambo yaende kama ilivyotokea huko Zanzibar kwa Maalim Seif kupewa wadhifa wa kuwa makamu wa kwanza wa Raisi mwaka 2015 kama sikosei.

Baada ya Zanzibar,sasa inaweza kuwa ni zamu ya Bara kufanya mabadiliko ya katiba kuwezesha wapinzani kuwa ni sehemu ya serikali ingawa si jambo rahisi kutokea na hata likitoea, basi huwa na mchakato mrefu lakini mwisho wa siku mambo hutimia ingawa inluence ya taasisi za kimataifa na mataifa makubwa huwa pia ni sehemu ya kufanikisha mambo haya hasa pale upinzani unapokuwa na nguvu na kusimama imara.

Lissu akijiridhisha kupata kura nyingi za kumuwezesha kushinda,basi lolote kati ya hayo linaweza kutokea maana najua hatotaka kurudi nyuma zaidi ya kupigania haki yake na hapo ndio inaweza kuwa mwanzo wa haya niyasemayo kutimia bila kujali itachukua muda gani au kutakuwa na ugumu kiasi gani.

Matamshi yake ya leo kuhusu yeye kupigwa risasi na aliowatuhumu/aliemtuhumu,ni ushahidi wa jinsi gani alivyojasiri wa kusema au kutenda mambo yasiyotegemewa na wengi kwani leo kaenda mbali zaidi katika kutoa tuhuma za waliompiga risasi.

Umetaja mawili tu! Pia anaweza kushindwa vibaya sana.
 
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM, na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.

Hoja yako ni nini hapa we dogo?
 
Nina umri wa kutosha wakati huo tayari nimemaliza degree yangu ya pili na nikiwa na akili timamu japo bado kijana sana. (ukipenda nitakwambia CV yangu utaipata wapi publicly)

Umri alio nao Lissu leo ndio umri aliokuwa nao Mrema, wakati huo akiwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Ndani (1995) na anaeheshimika sana.

Upinzani nchi hii ni mpaka CCM ipasuke vipande. Kila ilipo pasuka uchaguzi kwao ulikuwa mgumu. Vinginevyo ni vichekesho tuu.

Mkuu ww una degree?! Sitaki kuamini kuwa elimu yetu imekuwa ya kipuuzi hivi. Nimefedheheka sana, sujutii kutokumaliza elimu ya msingi.
 
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM, na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.
VIJANA wana saka teuzi CCM
 
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM, na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.
Sio kwa hali ilivyo sasa!

Watu wanaishi maisha magumu wewe unawatangazia ujenzi wa flyover japo zina manufaa lakini watakaokuelewa wachache. Miaka mitano bila kuongeza hata 100 kwenye mshahara? Watu wasio na vyeti unadhani wamesahau walivyofanyiwa unyama ausio?

Wafanyabiasharaa wamepewa makesi ya Uhujumu uchumi kila kukichaaa... Watu wamefunga Biasharaa kila konaa yani ukitembea mabarabarani siku hizi si ajabu kukuta frame 6 kati ya Kumi zilizokuwa zinafanya kazi zamani zimefungwaa. Mashirika na Bank mengi tu yanatambali ulimii.

THIS WONT BE A EASY BATTLE FOR CCM AT ALL..
 
Kuna kauli naitoa humu kila siku na leo narudia, CCM haitapata kura za watumishi wa umma isipokuwa polisi na jeshi nadhan, CCM haitapata kura za wafanya biashara, CCM haitapata kura za baadhi ya wakulima, CCM haitapata kura za vijana walioko mitaani bila kujua kesho yao ikoje, CCM haitapata kura za wanafunzi wa vyuo vikuu, ila maajabu ni kwamba CCM itashinda kwa asilimia kubwa sana na uchaguzi utapita na mambo yataendelea kama kawaida, watanzania wa kuumia watendelea kuumia na wale wa kula keki ya taifa wataendelea kula tu.
Mkuu ndo maana watu wanasema Mzee akiruhusu uchaguzi wa Haki aminii Jamaa hatoboiii nasema Magu hatoboii kabisaaa!

Kitendo cha kamati kuu kuwakingia Kifua Wapinzani walioamia CCM kitawaumiza sana Ccm wao wenyewe washagawanyikaaa.
 
Mkuu ndo maana watu wanasema Mzee akiruhusu uchaguzi wa Haki aminii Jamaa hatoboiii nasema Magu hatoboii kabisaaa...!!

Kitendo cha kamati kuu kuwakingia Kifua Wapinzani walioamia CCM kitawaumiza sana Ccm wao wenyewe washagawanyikaaa..
Huu ni mwaka wa mavuno ..ccm inakwenda kumfia magufuri mikononi mwake ..2020 Ni mwaka wa mabadiriko
 
Kwa aina ya magonjwa ya karne hii ni kujisumbua kujenga vituo vya afya. Inahitajika kujengwe hospitali.
 
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM, na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.
Acha kukariri mkuu kila Zama zna style yake tutathibitidha Mrema na lowasa baada ya uchaguzi siyo SS
 
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.
Sijui kama unafikiri kwa kutumia kichwa! usiishi kwa mazoea Kaka mkubwa!!!
 
Kina kabudi ndo vijana? Au unamaanisha kina Zungu au ndalichako cjakuelewa
Lowassa na Mrema ndio walio wahi kuitikisa CCM na haito tokea tena. CCM iko very dynamics inabadilika sana kufuatana na hali halisi na mapenzi ya wananchi kwa wakati huo.

2020 Utaona asilimia 80% ya wabunge CCM ni chini ya miaka orobaini. Upinzani kujivunia vijana haipo tena, wazee ndio wamesheheni upinzani.
 
Back
Top Bottom