Huyu mwanadada member wa JF napenda sana tabia yake

Kwa hio avatar.....lazima uwe dizaini hio!
 
Weka na Dina hapo
 
Uyo mdada ni mtu wa watu ndyo maana hutokuta anatukanwa hata na kale ka mange kimambi ka umu kanakoitwa the list
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Amiin dada. Yaani niseme ukweli leo nikiona id yako ilivyo ya muda mrefu huwa natamani na mie yangu ije kuzeeka hivyo hivyo.

Wewe ni mmoja wanaonifanya niitunze id yangu aisee. Yaani sitaki itokee siku niikimbie.
Mie nimeingia enzi ikiwa Jamboforums. aliyenishawishi kuingia ni bwana mmoja alikuwa mtangazaji wa ITV, akaja akawa DC na siku hizi yuko Star TV anaitwa Novatus Makunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…