Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Naomba mod nipe wimbooo wa ur love is kinddddddd ur love is patieNt kwa heshima ya madafuuu

kwa heshima ya muNGANOOOO tupee



I will put infront infront of ma melody ur.. ..i will make for twooo ur own..........inayokujatupe wimbooo wa .


By the grace of God I shall win this buttle by the grace of God

by the grace of God.by the.....X 3

EVERY SPIRIT OF POVERTY HOLLY GHOST... FIRE DAY FIREEEEE 🔥
🔥 🔥
 
Hapa mimi naona kuna uvivu wa kufikiri. 'Muuza madafu' alitakiwa kuuza madafu tu na sio kuvaa uniform tena. Labda kweli ni watu wawili tofauti au teknolojia imefanya yake.
Kupata ushahidi mzuri ni kuwaalika wote kwa wakati mmoja.
Je, wakati wa sherehe hizo zikiendelea uwanjani, kweli 'muuza madafu' alikuwepo kwa mama ntilie?
 
DUNIA INA MAMBOO KUNA JAMAA MMOJA ALIKUWA ANABEBA MAGAZETI MENGI POSTA MPYA MCHAFUU MCHAFU HAHA JAMAA NILIKUJA KUTANA NAE SEHEMU TOKA SIKUHIOO USINDHARAU MTU JAMAA AKIKUONA UNAVUTA ANAKWAMBIA OYAA FEGI PLS..
 
Back
Top Bottom