Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

Hata ulindweje wahuni wakujitoa muhanga wakiamua kukudungua wanakutungua tu...

Kina shinzo Abe, Abrahamu Lincoln, John Kennedy, walitunguliwa mchana kweupe..
Upo sahihi ila mara nyingi matukio kama hayo kunakuwepo na mtu wakaribu na Rais aloamua kumsaliti yaani katika timu yake ya walinzi anaowaamini sana yupo mmoja ndie anaweza kusaidia kufanikishwa kwa suala hilo.
 
Hata ulindweje wahuni wakujitoa muhanga wakiamua kukudungua wanakutungua tu...

Kina shinzo Abe, Abrahamu Lincoln, John Kennedy, walitunguliwa mchana kweupe..
Upo sahihi ila mara nyingi matukio kama hayo kunakuwepo na mtu wakaribu na Rais aloamua kumsaliti yaani katika timu yake ya walinzi anaowaamini sana yupo mmoja ndie anaweza kusaidia kufanikishwa kwa suala hilo
Mkuu umeshawahi kufanya kazi Special forces hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…