Huyu Mwanajeshi aliyekuwa akihutubia leo si ndiyo yule muuza madafu wa Ikulu, au?

for you information, ujasusi ndio unatakiwa uwe hivyo,

kila mtu anakazi yake, yupo anayepewa kazi ya kumpa siri mange
 
Mimi leo nimemuona nikasema huyu si jamaa wa madafu? Nikatafuta kama kuna thread ya yanayojiri maadhimisho ya Muungano niseme hilo nikaikosa nikakaa kimya.

Jamaa tokea namuona siku ya kwanza ile fitness haikuwa ya kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…