Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muandaaji wa hizi scenes kafeli pakubwa wamafukuze kazi Tu. Hawa viongozi sijui wanatuonaje Watanzania
Anayefanana naye au ndio huyo huyo mtu mmoja?Nafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikua na haja gani,basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
Tafadhali tutazame picha na kila mtu atakua na jibu lake!
Pia soma
- Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?
View attachment 2974798View attachment 2974799
View attachment 2974800
KabisaKwamba tunapangwa😊
Muandaaji wa hizi scenes kafeli pakubwa wamafukuze kazi Tu. Hawa viongozi sijui wanatuonaje Watanzania
Sasa unamcheka wakati na wewe ni mwanachama wakePyee ndiyo Nini? Be a man
Anatulinda huyo mwamba ndio sababu tuna post huku JF, tumpe Bravo! tu Mkuu.Kwahiyo ni captain madafu huyo? Au basi
MagotiMuandaaji wa hizi scenes kafeli pakubwa wamafukuze kazi Tu. Hawa viongozi sijui wanatuonaje Watanzania
Ngumu kumeza😊Sasa kwa nini wamemtumia tena?
hatari sana
Sijakataa suala ni kwamba wanawa expose sana na wakati inabid iwe kimya kimya kama yule jamaa alielichomea Jiwe Mahindi na Mwingine akampa Jogoo 😂😂😂 yani ni mixer Orijino Komedi Swali Ushawaona KBG au CIA wanafanya huu ukanjanja kwetu ndo kuna bongo moviefor you information, ujasusi ndio unatakiwa uwe hivyo,
kila mtu anakazi yake, yupo anayepewa kazi ya kumpa siri mange
Wa kwanza aliweka uzi kama huu ukafutwa chapppWafute umefanyaje
Afrika nzima, hakuna kama Tz kwenye mambo hayo.Nchi imekaa kikachero Sana Hii😊
Mwanachama wa nani? Au umechanganyikiwa!? Unanifahamu?Sasa unamcheka wakati na wewe ni mwanachama wake
Tutahamia TwitterWa kwanza aliweka uzi kama huu ukafutwa chappp