Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMwanachama wa nani? Au umechanganyikiwa!? Unanifahamu?
Usishangae kumkuta anauza uji ikulu😊Usikute na mama J wanamjua
unatupanga stori za mwaka 47Afrika nzima, hakuna kama Tz kwenye mambo hayo.
uli note nini?Hii ya boda boda nakubalii, kuna kitu nilinote kwa boda m1 hivi hapa mtaani, yaan kwa ufukunyuku wangu niliona sio boda wa kawaida kabisaa,
TungejiongezaNafikiri wengi wanakumbuka mwezi uliopita pale tulipoona wauza madafu wapo Ikulu kwa ajili ya "kuuza madafu" kwa waalikwa.
Walipiga picha na kurasa za mbele za magazeti wakatamalaki.
Wapo waliohoji maigizo yale yalikua na haja gani,basi tukaona wanafanyiwa interviews clouds etc na mmoja akasema anasoma NIT.
Mmetuchosha sasa, kila mtu muuza madafu muuza madafu, kwa hiyo mnataka tufanyeje?
Usisahau na machinga wenye kutembeza vitu mtaani.Kapteni wa Jeshi anayeuza Madafu.
KeshoAlikuwa anauza madafu lini..